Wednesday 30 April 2014

FAIDA ZIPATIKANAZO KWA KULA CHOKOLATE KWA WANAWAKE


HIZI  NDIO  FAIDA  ZA  KULA  CHOCOLATE  KWA  WANAWAKE.
1.     KUIMARISHA  AFYA  YA  MOYO :   
 Kula  chokleti  kunaweza  kupunguza   hatari  ya  kupatwa na  tatizo  la  kushindwa  kwa  moyo, hasa  hasa  kama  wewe  ni  mwanamke   mwenye  umri  mkubwa.
2.   Chokleti nyeusi  ina  viondoa  sumu 
 viitwavyo                               Flavanoids    ambavyo   husaidia  katika kupunguza  shinikizo  la  damu  na  kolestrol. Vile  vile  vina  imarisha  mtririko  wa  damu  katika  ubongo  na  kwenye  moyo  na  hivyo   kupunguza  hatari  ya  kupatwa  na  tatizo  la  kuganda  kwa  damu.
3.   KUONGEZA  HAMU  YA  TENDO  LA  NDOA :  Ulaji  wa  chokleti  unasadia  kuongeza  hamu  na  ashkhi  ya  tendo  la  ndoa  kwa  wanawake.  Tafiti  mbalimbali  zinaonyesha  kuwa, wanawake  wanao  tumia  chokleti  kila  siku, wanafurahia  tendo  la  ndoa  kuliko  wasio  tumia  chokleti.
4.    KULINDA  NGOZI :   
 Chokleti nyeusi  ni  nzuri  kwa  afya  ya  ngozi.  Viondoa  sumu  viitwayo  Flavanoids  ambavyo  hupatikana  kwenye  chokleti  nyeusi  husaidia  kuilinda  ngozi  dhidi  ya  madhara  ya ngozi  yasababishwayo  na   mwanga  wa  jua.

0 comments:

Post a Comment