Thursday 1 May 2014

FAIDA ZA ALO VERA MSHUBIRI



Mmea wa aloe
vera ukilimwa kwenye rutuba sahihi,
kutunzwa vizuri na kusindikwa kwa
uangalifu huwa na faida nyingi kwani una
vichocheo vinavyoua vimelea vya
magonjwa kama bakteria, virusi na fangasi.
Mtandao wa Mediclinic unaeleza kuwa
Aloevera, 

huchochea utengenezwaji wa
chembechembe mpya na tishu mpya zenye
afya. Hufanya mfumo wa fahamu kufanya
kazi vizuri na kutuliza matatizo yanayoathiri
mfumo wa fahamu. Huondoa sumu mwilini
na kufanya utendaji kazi wa mwili urudi
katika hali ya kawaida.

Pia, husaidia kujenga seli mpya baada ya
majeraha ya moto, kujikata, michubuko,
vidonda vya tumbo, kung’atwa na wadudu
wakali na wanyama. Husaidia matatizo ya
kutopata haja, pia maumivu wakati wa haja
kubwa na ndogo. Huondoa matatizo ya
ngozi kama pumu ya ngozi (eczema),
chunusi (acne) na fangasi.

Ni msaada kwenye umeng’enyaji wa
chakula, kuongeza kinga ya mwili, kuondoa
maumivu sehemu mbalimbali za mwili,
matatizo ya usingizi, uchovu wa mwili
usioeleweka, ugonjwa wa koo na pumu.

Hutibu matatizo ya kuhara na kutopata haja
kubwa kiurahisi, hutibu sukari, vidonda vya
tumbo. Wanaume wengi wanaosumbuliwa
na matatizo ya kuziba kibofu cha mkojo na
pia kinamama wanao sumbuliwa na
uambukizi kwenye njia ya mkojo (UTI)
ambayo huwafanya misuli ya kuzuia mkojo
kulegea, mapafu, kusafisha maini na
kuondoa sumu kwenye ngozi, aloe vera ni
tiba.

Ili kupunguza uchungu, unaweza
kutengeneza juisi yake na kuichanganya na
asali ya nyuki wadogo.

1 comments:

  1. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

    ReplyDelete