Friday 16 November 2018

MILK SHAKE MOJA UKINYWA NI SAWA NA UMERAMBA SUKARI KAVU VIJIKO 39.


SUKARI IMEFANYA VIJANA WENGI HAWANA NGUVU ZA KIUME KWA KUNYWA HOVYO 
VINYWAJI VYA SUKARI ETI WANAPOZA KOO NA KUONGEZA NGUVU.

4. Sukari ndiyo Inafanya FAMILIA NZIMA MNANENEPA, Kuanzia BABA, Mama na WATOTO wote Mnakuwa NI KITAMBI. Sukari Sukari.

Tunaposema Sukari Mtambue kwamba Inakuja katika SURA TOFAUTI TOFAUTI wengi tunapumbazika kwamba ni ILE TU INAYOKUJA NYEUPE KAVU.

1. Kwenye Soda Kasome kuna Gram ngapi za sukari halafu jibu utakalopata gawanya kwa 5gram ili upate vijiko. Mfano: Ukikuta kuna gram 37 kwenye kinywaji chako Gawanya kwa 5 utapata vijiko 7 unalamba kila unywapo kinywaji hicho. Fanya Uchunguzi Ujue unalamba vijiko vingapi kwa siku.

Watu wanakunywa soda Zaidi ya 5 kwa siku.

2. Mbali na hivyo Kuna Vinywaji vingine kama MILK SHAKES, MAZIWA YA UNGA, MAZIWA YA MILK FORMULA YA WATOTO, COCKTAILS,huko Pia UTAIKUTA SUKARI.

3. Sukari Pia utaikuta kwenye JUISI TUNAZOTENGENEZA NYUMBANI SHAKES ZA MATUNDA Mfano: Unachukua Maembe mengi, Machungwa unatengeneza Juisi nzito. Utakutana na neno NO ADDED SUGAR Usipumbazwe na hilo. Unapokunywa JUISI HIO NI SUGAR SYRUP Kuna watu wanatupotosha sana.

Unapoambiwa Embe lina faida kwa afya Haimaanishi Utengeneze Juisi Unapoambiwa Nyanya, Papai lina lycopene ambayo huua kansa seli haimaanishi utengeneze juisi ya nyanya na Papai upone kansa Unapoambiwa Beet root na karoti zina faida kiafya haimaanishi utengeneze JUISI Unapoambiwa STAFELI lina ACTIVE INGREDIENTS inayotibu kansa Haimaanishi UNYWE JUISI YA STAFELI UTAPONA KANSA.

Hata hivyo Vitamin ambazo hupatikana kwenye Matunda huitwa WATER SOLUBLE VITAMINS, Ambazo ni B vitamins na Vitamin C. Kisayansi Vitamin hizi huwa Zinapozidi mwilini HUWA HAZIWEZI KUHIFADHIWA MWILINI, ZINATOKA PAMOJA NA MAJI YANAYOTOKA MWILINI. Kwa maana hio KUNYWA GLASI TANO ZA EMBE NA MACHUNGWA UTAKUWA UNAJIUMIZA KIAFYA, UNAMIMINA SUKARI NYINGI KWA MKAO MMOJA KWA LENGO AMBALO HALIENDI KUTIMIA.

Mwili wa binadamu huwa unahifadhi vitamins zinazotembea na MAFUTA ambazo ni Vitamin A,D,E na K hizi huhifadhiwa Mwilini pale unapokula nyingi. Ambapo sasa anayekunywa JUISI ILI APATE VITAMINS NYINGI ANAKULA ANAJIPUMBAZA BURE hakuna CHOCHOTE ANACHOPATA TOFAUTI NA KUUMIZA INI LAKE.

Kwa maana Hio SIKUSHAURI UTENGENEZE JUISI MATUNDA YAKO KWA WATOTO WAKO NA FAMILIA YAKO. Waliotuambia Tunatibu kwa mboga mboga za matunda walitupotosha sana TUMEHAMA KUTOKA KWENYE SODA TUMEAHAMIA KWENYE VIMIMINIKA VYA SUKARI TUNAVYO TENGENEZA SISI WENYEWE.

Athari za Sukari Mwilini.
ZINAKUHATARISHA KUPATA MAGONJWA YA UCHAKAVU WA MWILI MAPEMA SANA KATIKA UMRI WAKO.

5 comments:

  1. Hiv disease for the last 3 years and had pain hard to eat and cough are nightmares,especially the first year At this stage, the immune system is severely weakened, and the risk of contracting opportunistic infections is much greater. However, not everyone with HIV will go on to develop AIDS. The earlier you receive treatment, the better your outcome will be.I started taking ARV to avoid early death but I had faith in God that i would be healed someday.As a Hiv patent we are advise to be taking antiretroviral treatments to reduce our chance of transmitting the virus to others , few weeks ago i came on search on the internet if i could get any information on Hiv treatment with herbal medicine, on my search i saw a testimony of someone who has been healed from Hiv her name was Achima Abelard and other Herpes Virus patent Tasha Moore also giving testimony about this same man,Called Dr Itua Herbal Center.I was moved by the testimony and i contacted him by his Email.drituaherbalcenter@gmail.com We chatted and he send me a bottle of herbal medicine I drank it as he instructed me to.After drinking it he ask me to go for a test that how i ended my suffering life of Hiv patent,I'm cured and free of Arv Pills.I'm forever grateful to him Drituaherbalcenter.Here his contact Number +2348149277967...He assure me he can cure the following disease..Hiv,Cancer,Herpes Virus,Lyme Disease,Epilepsy, ,Bladder Cancer,Colorectal Cancer,Breast Cancer,Kidney Cancer,Leukemia,Lung Cancer,Non Hodgkin Lymphoma,Skin Cancer,Lupus,Uterine Cancer,Prostate Cancer, fibromyalgia ,ALS,Hepatitis,Copd,Parkinson disease.Genetic disease,Fibrodysplasia disease,Fibrodysplasia Ossificans Progressiva,Fluoroquinolone Toxicity Syndrome,Liver/Kidney Inflammatory,infertility, bowel disease ,Huntington's disease ,Diabetes,Fibroid...

    ReplyDelete
    Replies
    1. I am FRED and i want quickly recommend DR NCUBE for a Job well done by
      curing me from the genital herpes disease that have be giving me sleepless night. if you want to contact him, Simply do that via email drncube03@gmail.com or 
      call/whatsapp +2348155227532
      he also have #herbs for
      #hiv/aids
      #cancerdisease 
      #fibroid 
      #diabetes

      Delete
  2. I am bold enough among many others to state that there is now a potent cure to this sickness but many are unaware of it. I discovered that I was infected with the virus 3 months ago, after a medical check-up. My doctor told me and I was shocked, confused and felt like my world has crumbled. I was dying slowly due to the announcement of my medical practitioner but he assured me that I could leave a normal life if I took my medications (as there was no medically known cure to Herpes). I went from churches to churches but soon found that my case needed urgent attention as I was growing lean due to fear of dying anytime soon. In a bid to look for a lasting solution to my predicament, I sought for solutions from the herbal world. I went online and searched for every powerful trado-medical practitioner that I could severe, cos I heard that the African Herbs had a cure to the Herpes syndrome. It was after a little time searching the web that I came across one Dr Itua(A powerful African Herbal Doctor), who offered to help me at a monetary fee. I had to comply as this was my final bus-stop to receiving a perfect healing. My last resolve was to take my life by myself, should this plan fail. At last it worked out well. He gave me some steps to follow and I meticulously carried out all his instructions. Last month, to be precise, I went back to the hospital to conduct another test and to my amazement, the results showed that negative,Dr Itua Can As Well Cure The Following Desease…Cancer,Hiv,Herpes, Hepatitis B,Liver Inflammatory,Diabetis,Fribroid,,Non Hodgkin Lymphoma,Skin Cancer,Uterine Cancer,Prostate Cancer Dercum,Infertility,fibromyalgia,Get Your Ex Back,Als,SYPHILLIS,Genetic disease,Epilepsy, Parkinson's disease..You can free yourself of this Herpes virus by consulting this great African Herbal Doctor via this e-mail: drituaherbalcenter@gmail.com or call and whatsapp him on +2348149277967 He will help you and his herb medication is sure. he has the cure on all disease .You can talk to me on INSTAGRAM..tashamoore219....

    ReplyDelete
  3. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  4. Chemicals used in industries gives me Leukemia Cancer and it's all started when I wanted to get off my job to get another job that when I got diagnose, at that very point I was so scared to die because it has infected my blood cells also I was prescribed drugs like Cyclophosphamide,Busulfan,Bosutinib,Cytarabine, Cytosar-U (Cytarabine),Dasatinib in all that was just to keep me waiting for my dying day. I got inspired by what I read from a lady called Tara Omar on blog spot on how Dr Itua cure her HIV/Aids then they were lettered below that says he can cure Cancer so I pick his contact on the testimony she wrote then I emailed Dr Itua hopefully he replied swiftly to my mail then I purchased his Herbal medicine also it was shipped to me here in Texas, I went to pick it at post office so he instructs me on how the treatment will take me three weeks to cure my Leukemia Disease, Joyfully I was cured by this Dr Itua Herbal Medicine.
    I will advise you too to give a try to Dr Itua Herbal Medicine with the following diseases that he can help you cure forever___Diabetes, Herpes,HIV/Aids, Bladder Cancer, Breast Cancer, Vaginal Cancer, Kidney Cancer, Lung Cancer, Skin Cancer, Uterine Cancer, Prostate Cancer, Colo_Rectal Cancer, Leukemia Cancer, Hepatitis, Brain Tumors, Love Spell, Infertility, Hpv. GoodLuck.
    Dr Itua Contact Information:::
    Email (drituaherbalcenter@gmai.com)
    WhatsApp-(+2348149277967)

    ReplyDelete