Friday 25 January 2019

DAWA YA KUTIBU MARADHI YA HOMA YA MATUMBO AKA TYPHOID FEVER


DAWA YA KUTIBU MARADHI YA HOMA YA MATUMBO AKA TYPHOID FEVER
TYPHOID FEVERHoma ya matumboHoma ya matumbo husababishwa na bakteria anayeitwa Salmonella Typhoid. Ugonjwa huu huambukizwa kwa mtu kula au kunywa chakula au maji yalio na kinyesi cha mu aliyambukizwa. Bakteria hawa hutoboa na kunyonya chakula kwenye matumbo ya binadamu.
Dalili ya Maradhi:Homa kaliKutoka kwa majasho mengiKuharisha (bila ya kutoa damu)Mara nyingine, vitone vyekundu huonekana kwenye mwili.Kwa kawaida, homa ya matumbo isipotibiwa hugawanyika katika hatua nne, kila hatua ikichukua takriban wiki moja.
Katika wiki ya kwanza:Joto la mwili huongezekaKichwa huumaKukohoaDamu kutoka kwa pua, ingawa tukio hili huwa ni nadra kutokea.Maumivu ya tumbo pia huweza kutokea
Katika wiki ya pili:Homa huongezekaMgonjwa huanza kupagawa, kama mwenda wazimuVitone vyekundu huanza kutokea kwenye kifuaMgonjwa huharisha, takriban mara sita au nane kwa siku.Kutapika kwa mgonjwaIni la mgonjwa huvimbaHoma ya mgonjwa huongezeka katika wakati wa alasiri kwenye wiki ya kwanza na ya pili.
Wiki ya tatu:Matumbo hutoa damu.Matumbo hutobokaWiki ya Matibabu[hariri | hariri chanzo]tatu ikimalizika, homa huanza`kutilia. Hii huendelea hadi wiki ya nne.
Matibabu kwa dawa za kizunguMara nyingi, homa ya matumbo haiuwi binadamu. Dawa kama ampicillin, chloramphenicol, trimethoprim-sulfamethoxazole, Amoxicillin and ciprofloxacin hutumika kutibu wagonjwa katika nchi zilizoendelea.
DAWA YA KUTIBU HOMA YA MATUMBO DAWA YA TIBA ASILIA
FANYA HIVI: Chukuwa Glasi 4 za Maji tia ndani ya jagi la maji changanya na nusu kijiko kidogo cha chumvi ya unga. Kisha tia ndani yake vijiko 6 vidogo vya sukari, kisha koroga vizuri hayo maji.
Matumizi yake: kunywa asubuhi kabla ya kula kitu glasi 1 mchana glasi 1 Jioni Glasi 1na usiku glasi 1 kila siku dawa ikiisha tengeneza dawa ingine utumie hiyo dawa kwa siku 30 utaweza kupona.
Hatua za kuzuia kupata homa hii
Usafi wa mazingara na wa kibinafsi ni hatua bora ya kujikina kutokamana na ugonjwa huu.Homa ya matumbo haiathiri wanyama kwa hivyo maambukizi ni kutoka kwa binadamu mmoja hadi mwingine.Homa hii hueza kuenea kwenye mazingara ambayo kinyesi cha binadamu hutangamana na vyakula vyao. Upishi wa makini na uoshaji mikono ni kingo bora zaidi kwa kuzuia maradhi haya kuenea.
Chanjo ni za aina mbili: moja inayotiwa kwa njia ya mdomo iitwayo Ty21a (au Vivotif Berna) na nyingine ya sindano kwa majina Typhim Vi iliyotengenezwa na Sanofi Pasteur au Typherix iliyotengenezwa na GlaxoSmithKline.
Ukitumia Dawa hujapona unaweza kunitafuta nikupe Dawa ya kuweza kukutibu ukapona kwa haraka zaidi.

2 comments:

  1. You've outdone yourself with this excellent posting. Thanks very much for the great photos and witty prose. Keep it up! the future of nursing leading change advancing health apa citation

    ReplyDelete
    Replies
    1. I am FRED and i want quickly recommend DR NCUBE for a Job well done by
      curing me from the genital herpes disease that have be giving me sleepless night. if you want to contact him, Simply do that via email drncube03@gmail.com or 
      call/whatsapp +2348155227532
      he also have #herbs for
      #hiv/aids
      #cancerdisease 
      #fibroid 
      #diabetes

      Delete