Saturday, 30 June 2018
MARADHI YA MIGUU KUWAKA MOTO (PERIPHERAL NEUROPATHY)
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili
yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na
hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo
1.Mtu kuhisi ganzi
2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.
3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi,
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:
1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).
2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi
3.Uzito mkubwa wa mwili,
4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).
5.Shinikizo la damu,
Nina kuuliza Swali je una uzito wa mwili kilo ngapi? Una miaka mingapi? umeowa au umeolewa?
Unao ugonjwa wa kisukari? unao ugonjwa wa Maradhi ya Presha? Kapime huenda una Ukosefu wa Kupungua kwa virutubisho Mwilini? Ukipata majibu wasiliana na mimi kwa Private messege
Related Posts:
HOME REMEDIES FOR NUMBNESS IN HANDS AND FEET Numbness in the hands and feet means there is a lack of touch sensation. Other symptoms can include tingling or burning sensations, sharp pain or weakness of the affected area. It is a very common problem. There are many … Read More
TATIZO LA MIFUPA AU KUUMWA MIGUU/MAGOTI: OSTEOPOROSIS Tatizo hili hujulikana kwa jina la kitaalamu kama Osteoporosis. Ugonjwa huu unatokana na kupunguka kwa protini na madini kwenye mifupa (madini chokaa/calcium). Hali hii hupelekea mifupa kuwa milaini na myepesi ambapo inaw… Read More
NATURAL HOME REMEDIES FOR ATHLETE'S FOOT Athlete's Foot: • Athlete's foot is a condition caused by a group of fungi called dermatophytes Symptoms to look for: • Itching between the toes • Scaly, reddish and rough skin • Moist, white l… Read More
MIKONO NA MIGUU KUFA GANZI INASABABISHWA NA NINI? NUMBNESS IN HAND AND FEET TATIZO LA MIKONO/MIGUU KUFA GANZI Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili&n… Read More
MARADHI YA MIGUU KUWAKA MOTO CHANZO CHAKE NA MATIBABU YAKE (NEUROPATHY) Nini maana ya miguu kuwaka moto?Miguu kuwaka moto ni tatizo kubwa sana kwa sasa. Maumivu haya yanaweza kuwa ya mda mfupi au yakakaa mda mrefu bila kuisha. Miguu yako itahisi hali ya kuungua na kufa ganzi. Maumivu huwa … Read More
Habar doctor
ReplyDeleteI am FRED and i want quickly recommend DR NCUBE for a Job well done by
Deletecuring me from the genital herpes disease that have be giving me sleepless night. if you want to contact him, Simply do that via email drncube03@gmail.com or
call/whatsapp +2348155227532
he also have #herbs for
#hiv/aids
#cancerdisease
#fibroid
#diabetes
Habar doctor
ReplyDeleteDid you know that there’s a host of back and spine-related issues that are more prevalent in women than men? This includes lower back pain, a guide to back care exercises for women and more, and the risks can get higher as females get older, particularly at post-menopausal age.
ReplyDelete