Monday 28 May 2018

USHAURI WA AFYA KWA VIJANA WA ZAMANI


KWA VIJANA WA ZAMANI
Baada ya kufikisha umri wa miaka 50, mtu anaweza kupata aina nyingi za magonjwa. Lakini ugonjwa mmoja ambao nina na wasiwasi nao zaidi ni Alzheimer's. Sio tu kuwa sitaweza kujihudumia, lakini unaweza kusababisha usumbufu mwingi kwa wanafamilia.
Siku moja, mwanangu alirudi nyumbani akaniambia kuwa daktari rafiki alikuwa amemfundisha zoezi linaloutumia ulimi. Zoezi la ulimi linafaa sana katika kupunguza na kutokewa na Alzheimer's na pia hufaa kupunguza kuboresha yafuatayo:

1. Uzito wa mwili
2. Shinikizo la damu
3. Kuganda kwa Damu katika Ubongo
4. Pumu
5. Kutoona mbali
6. Sikio linalovuma
7. Maambukizi ya Koo
8. Maambukizi ya bega / shingo
9. Kutopata usingizi

Hatua husika ni rahisi sana na nyepesi kujifunza. Kila asubuhi, unapoosha uso wako, mbele ya kioo, fanya zoezi kama ilivyoelezwa hapo chini:

*Utoe ulimi wako na kunyoosha - upeleke kulia kisha kushoto mara 10*
Tangu nilipoanza kuufanyia mazoezi ulimi wangu kila siku, kulikuwa na uboreshaji katika kumbukumbu yangu ya Ubongo.

Akili yangu ilitulia na safi na pia kulikuwa na maboresho mengine.

1. Kuona mbali kuliimarika
2. Kupotea kizunguzungu
3. Kuboreka afya
4. Usagaji bora wa chakula
5. Kupungua mafua ya mara kwa mara
Nina nguvu na najihisi mwepesi zaidi.
Zoezi la ulimi husaidia kudhibiti na kuuzuia ugonjwa wa Alzheimer's. Utafiti wa kiganga umegundua kuwa ulimi una uhusiano na ubongo MKUBWA. Wakati mwili wetu unapozeeka na kuwa dhaifu, dalili ya kwanza kuonekana ni kwamba ulimi wetu unakuwa mgumu na mara nyingi unatamani kujitafuna wenyewe.
Kuuzoeza ulimi wako mara kwa mara kutausaidia ubongo, kutasaidia kupunguza fikra zetu kushuka na hivyo kuwa na mwili wenye afya.
*"Madaktari wanahimiza kila mtu akipokea ujumbe huu aupeleke kwa watu wengine kumi, na kwa hakika angalau maisha ya mtu mmoja yataokolewa ...

2 comments:

  1. I am bold enough among many others to state that there is now a potent cure to this sickness but many are unaware of it. I discovered that I was infected with the virus 3 months ago, after a medical check-up. My doctor told me and I was shocked, confused and felt like my world has crumbled. I was dying slowly due to the announcement of my medical practitioner but he assured me that I could leave a normal life if I took my medications (as there was no medically known cure to Herpes). I went from churches to churches but soon found that my case needed urgent attention as I was growing lean due to fear of dying anytime soon. In a bid to look for a lasting solution to my predicament, I sought for solutions from the herbal world. I went online and searched for every powerful trado-medical practitioner that I could severe, cos I heard that the African Herbs had a cure to the Herpes syndrome. It was after a little time searching the web that I came across one Dr Itua(A powerful African Herbal Doctor), who offered to help me at a monetary fee. I had to comply as this was my final bus-stop to receiving a perfect healing. My last resolve was to take my life by myself, should this plan fail. At last it worked out well. He gave me some steps to follow and I meticulously carried out all his instructions. Last month, to be precise, I went back to the hospital to conduct another test and to my amazement, the results showed that negative,Dr Itua Can As Well Cure The Following Desease…Cancer,Hiv,Herpes, Hepatitis B,Liver Inflammatory,Diabetis,Fribroid,,Non Hodgkin Lymphoma,Skin Cancer,Uterine Cancer,Prostate Cancer Dercum,Infertility,fibromyalgia,Get Your Ex Back,Als,SYPHILLIS,Genetic disease,Epilepsy, Parkinson's disease..You can free yourself of this Herpes virus by consulting this great African Herbal Doctor via this e-mail: drituaherbalcenter@gmail.com or call and whatsapp him on +2348149277967 He will help you and his herb medication is sure. he has the cure on all disease .You can talk to me on INSTAGRAM..tashamoore219....

    ReplyDelete
    Replies
    1. I am FRED and i want quickly recommend DR NCUBE for a Job well done by
      curing me from the genital herpes disease that have be giving me sleepless night. if you want to contact him, Simply do that via email drncube03@gmail.com or 
      call/whatsapp +2348155227532
      he also have #herbs for
      #hiv/aids
      #cancerdisease 
      #fibroid 
      #diabetes

      Delete