Thursday, 26 June 2014
VYAKULA VITOKANAVYO NA ASILI YA MAFUTA
VYAKULA VYA ASILI YA MAFUTA:
Vyakula hivi hupatikana katika makundi mawili yaani vile vitokanavyo na wanyama (mafuta ya wanyama shahamu) na vyakula vitokanavyo na wanyama ni kama vile maziwa, siagi, samli na mayai, mafuta yatokanayo na mimea ni kama vile katika karanga, mbata, korosho, ufuta, michikichi ni bora zaidi kuliko yote yatokanayo na mimea.
MATUMIZI:
1) Kusaidia katika kusaga chakula kwa kukifanya nyongo itoke katika kibofu cha nyongo na maji kongosho yatoke katika kongosho
2) Kuhifadhi vile viungo vya mwili viwezavyo kushikwa upesi na hitilafu.
3) Kuwezesha mwili kuwa na utendaji wa joto.
UPUNGUFU WAKE;
1) Mwili kukosa nguvu ya kujilinda na vijidudu vya magonjwa.
2) Ukosefu wa vitamin A ya kutosha.
3) Kushindwa kusaga vyema chakula kilichopo mwilini.
Related Posts:
MADHARA YA KUTUMIA SUKARI KWA WINGI TUJIHADHARI SANA. Sukari Wengi wetu tumeshasikia ushauri wa kula sukari kidogo, ushauri ambao ni mzuri kiafya. Lakini licha ya tahadhari mbalimbal… Read More
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI Tunapozungumzia upungufu wa nguvu za kiume tunakuwa katika uwanja mpana zaidi wa tafakari za kibaiolojia na kisaikolojia walizonazo wanaume. Lakini kwa kufupisha mlolongo wa mambo sehemu kuu tatu zinaweza kabisa k… Read More
MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, KUPIZI HARAKA, NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI -2 Lakini ukweli uko wazi kwamba kukimbilia kutafuta uwezo wa kufanya mapenzi mara sita au saba hakumfanyi mwanaume awe mlinganifu mwenye kusifiwa na wanawake wengi, kwani si wanawake wote wana uwezo wa kufanya ma… Read More
VYAKULA HIVI VINASABABISHA SARATANI! JIHADHARANI NAVYO! Soseji Ugonjwa wa saratani ama kansa unatajwa kuwa ndio ugonjwa wa hatari zaidi duniani na unaoua watu wengi … Read More
MAGONJWA SUGU YASIYO YA KUAMBUKIZA ILI UJIEPUSHE NAYO. . Magonjwa makuu sita yasiyo ya kuambukiza ni pamoja na: Ugonjwa wa kisukari, Magonjwa ya moyo, Shinikizo kubwa la damu, Saratani, Magonjwa ya figo na Magonjwa sugu ya njia ya hewa. Sababu zinazopelekea kuwepo … Read More
0 comments:
Post a Comment