Thursday, 26 June 2014
VYAKULA VITOKANAVYO NA ASILI YA MAFUTA
VYAKULA VYA ASILI YA MAFUTA:
Vyakula hivi hupatikana katika makundi mawili yaani vile vitokanavyo na wanyama (mafuta ya wanyama shahamu) na vyakula vitokanavyo na wanyama ni kama vile maziwa, siagi, samli na mayai, mafuta yatokanayo na mimea ni kama vile katika karanga, mbata, korosho, ufuta, michikichi ni bora zaidi kuliko yote yatokanayo na mimea.
MATUMIZI:
1) Kusaidia katika kusaga chakula kwa kukifanya nyongo itoke katika kibofu cha nyongo na maji kongosho yatoke katika kongosho
2) Kuhifadhi vile viungo vya mwili viwezavyo kushikwa upesi na hitilafu.
3) Kuwezesha mwili kuwa na utendaji wa joto.
UPUNGUFU WAKE;
1) Mwili kukosa nguvu ya kujilinda na vijidudu vya magonjwa.
2) Ukosefu wa vitamin A ya kutosha.
3) Kushindwa kusaga vyema chakula kilichopo mwilini.
Related Posts:
MWANAMUME KUWAHI KUMALIZA ANAPOFANYA TENDO LA KUJAMIANA..................!!!!! Kutoka mbegu za kiume muda mfupi baada ya kumwingilia mwanamke huitwapremature ejaculation. Huu ni udhaifu wa kawaida kwa wanaume walio wengi kwa ujumla wake, ikiwa ni pamoja na vijana. Mtaalamu Ira Sharlip anasema ka… Read More
SIRI YA KUONDOA MARADHI YA KOLESTRO MWILINI KWA kuzingatia kwamba wenye lehemu nyingi mwilini (Bad High Cholestol) huwa katika hatari zaidi ya kupatwa na magonjwa ya moyo, ikiwemo kupooza (stroke), suala la kuhakikisha mwili wako unakuwa na kiwango cha mafuta … Read More
MAMBO YA KUYAFAHAMU JUU YA MARADHI YA KANSA (CANCER) 1 Kuna zaidi ya aina 100 za saratani,na kiungo chochote cha mwili kinawezakuathirika … Read More
MADHARA YA UNENE KWA WAJAWAZITO NA WATOTO Unapaswa kujua kuwa, wanawake wenye uzito wa kupitiliza (obese women) wakiwa wajawazito wanakabiliwa na hatari ya kupata madhara makubwa. Madhara hayo ni kama haya yafuatayo, kupata ugonjwa wa kisukari cha ujauzito… Read More
TAMBUA JINSI YA KUSHIKA MIMBA HARAKA 1. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days. 2. Tumia ovulation prediction kit, hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na … Read More
0 comments:
Post a Comment