Wednesday 30 April 2014

FAIDA ZA KIAFYA ZIPATIKANAZO KWA KULA TUNDA LA NANASI

Nanasi
NANASI  ni  tunda  lenye  ladha  nzuri. Mbali  na  kutumika  kama  tunda  ama  juisi  yake  kutumika  kama  kinywaji, tunda  la  nanasi  lina  faida  mbalimbali  kwa  afya  ya  mwanadamu.


Baadhi  ya  faida  hizo  ni   pamoja  na  :
i.             UTAJIRI  WA  VITAMINI  NA  MADINI :
Nanasi ina vitamini A,B na C na pia ina madini ya chuma, calcium, copper na phosphorous ambayo  yote  ni  muhimu  sana  katika  afya  ya  mwanadamu.


ii.           Tunda hili husaidia kutengeneza damu
iii.         Nanasi  husaidia  kuimarisha mifupa , meno, neva na misuli (muscles).
iv.         Tunda  la  nanasi  hutibu matatizo ya tumbo.
v.           Hutibu  matatizo  ya  Bandama
vi.         Hutibu  matatizo  ya   Ini
vii.       Husaidia  kusafisha   Utumbo mwembamba
viii.     Husaidia  kutibu  Homa
ix.         Husaidia  kutibu Vidonda mdomoni
x.           Husaidia  kutibu   Magonjwa ya koo
xi.         Husaidia  kutibu  tatizo  la  Kupoteza kumbukumbu
xii.       Husaidia  kutibu  maradhi ya akili Kukosa mori (low spirit)
xiii.     Husaidia  kutibu  Kikohozi
xiv.     Husaidia  kutibu  tatizo  la Kutetemeka
xv.       Husaidia  kutibu  tatizo  la Woga ( Anxiety )
xvi.     Husaidia kutibu  matatizo ya wanawake (upungufu wa hormones au makosa fulani katika sehemu za siri )
xvii.   Huondoa shida ya kufunga choo
xviii. Hutibu  tatizo  la  baridi yabisi
xix.     Husaidia  katika  kutibu  tatizo  la  Upungufu wa damu
xx.       Pia  tunda  hili   huwasaidia  akina mama wanaonyonyesha (wenye maziwa machache)

0 comments:

Post a Comment