Wednesday 30 April 2014

FAIDA ZA KIAFYA ZIPATIKANAZO KWA KULA MATANGO.

FAIDA ZA KIAFYA ZA MATANGO.




MATANGO  yana  faida  mbalimbali  katika  afya  ya  mwili  wa  mwanadamu.
Matango  huweza   kutengenezwa kama juisi au kutafunwa bila kupikwa.



MATAYARISHO
Osha vizuri na kula na maganda, ukiondoa maganda siyo mbaya sana pia.


FAIDA  ZA  KIAFYA  ZA  MATANGO:
Faida  za  kiafya  za   matango  ni  pamoja  na  :
i.             Kutibu  magonjwa ya saratani
ii.           Kutibu  Vidonda vya tumbo
iii.         Kutibu  magonjwa ya ngozi
iv.         Kutibu  majipu
v.           Matango  hutumiwa kwa urembo wa ngozi (Kutumia  matango  kwa  urembo  wa  ngozi, sugua uso kwa kipande cha tango au osha uso kwa juisi yake)
vi.         Matango  husaidia  kuondoa uric-acid katika mwili
vii.       Vilevile  matango husaidia   kusafisha na kutibu utumbo mwembamba
viii.     Matango  husaidia  kuzuia na kutibu magonjwa ya ini na figo
ix.         Juisi ya  matango  inasaidia  kuufanya  mwili  kuwa  katika  afya  nzuri.
x.           Watu wenye mikono yenye michubuko, watumie matango kwa kupaka mikono na mwili wote . weka katika beseni , osha uso na mwili wote

NB: Vitamini na madini mengi, vinapatikana  kwenye  maganda. Hivyo  unapotumia matango, unashauriwa  kutotoa   maganda ingawa mengine ni machungu kidogo

0 comments:

Post a Comment