Tuesday 20 October 2020

MARADHI YA KICHWA HEADACHES


 



Kuumwa na kichwa kumegawanyika sehemu kuu nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yame-advance. Kama vile concussion of brain,meningitis,encephaliti, na stroke. Kuumwa na kichwa pia inawezatokana na matatizo ya taya, meno au hata kula vitu vya baridi zaidi. Vyakula vyenye nitrite au monosodium glutamate.

Sehemu ambazo huuma ni kama ifuatavyo:

- Mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa.
- Baadhi ya neva za fahamu zilizoko usoni

Misuli ya kichwani
Mishipa inayopatikana kwenye fuvu la kichwana chini ya ubongo kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo kwa zenyewe haziumi kwani hazina mifumo ya fahamu ambayo inahisia.
Mambo haya 12 nayo yanahusika sana.

1: Nervous tension headaches;
Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo,kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia vitamin b2 na c , ounguza au acha matumizi ya sukari,kahawa,chakula chenye kukusababishia mzio,misongo ya mawazo na ufanye mazoezi yakutosha.

2: Cluster headaches;
Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na makamasi kwa mbali. Kitu cha kwanza ni kutumia chakula chenye protein ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio kwako.

3: Hangover headaches;
Hii ni hali ya kichwa kuuma kwa sababu ya matumizi makubwa ya vinywaji vikali haswa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kichogoni au shingoni,kunywa maji mengi na juice ya matunda freshi na uache pombe.

4: Exertion headaches;
Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na haswa kwenye ngono. Weka barafu linalouma, kula mlo kamili na usifanye mazoezi.

5: Caffein headaches;
Hali hii hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa kuondoa maumivu na upunguze matumizi kidogokodogo mpaka utakapo acha kabisa.

6: Sinus headaches;
Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vitamini C kwa wingi na umuone mtaalamu wa afya maana saa zingine hii utkana na maambukizi.

7: Bilious headaches;
Kichwa na macho huuma haswa kipanda uso na husababishwa na kula sana, kula vibaya, kutofanya mazoezi na kukosa choo. Fanya mazoezi na kunywa maji yakutosha na kasha fanya enema.

8: Hunger headaches;
Maumivu ya kichwa ambaya husababishwa na kutokula kwa muda. Kula chochote ilimradi kiwe ni protein au carbohydrates .

9: Eyes ram headaches
Haya ni maumivu yanayotokea kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo saa zingine inaweza kuwa sababu. lakini chanzo chake haswa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha na kama ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuana mtaalamu aangalie kama lensi zimepotea nuru au la.

10: Menstrual headaches;
Hali hii hutokea kwa kina mama kipindi cha yai kupevuka. Hutokana na mabadiliko ya hormone, muone mtaalamu wa afya.

11: Arthritis headaches;
Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na saa zingine mpaka mgongoni ambayo husababisha maumivu haswa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo.

12: Hypertension headaches;
Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu na halii itaisha bila shaka.

Kabla ya kukupa dawa na ushauri wangu nina maswali nikuulize unijibu.

Je unapata Usingizi wa kutosha? Unalala usiku masaa mangapi? Je, unakunywa maji ya kutosha? Una miaka mingapi? Unapata haja kubwa ya kutosha? Nenda pia kapime macho yako na ukapime tena kwenye mishipa yako ya fahamu huenda una matatizo. Na kitu kingine unakuwa upo juani uwe unavaa kichwani kofia.

DALILI ZA KIPANDA USO
Kipanda uso (Migraine) ni ugonjwa au maumivu makali ya kichwa anayokuwa nayo mtu baada ya mshipa wa damu (Enlargement of Artery ) kutanuka katika kichwa chake.

Baada ya kutanuka kwa mishipa hii ya damu, pia kuna kemikali ndani ya mwili zinazozalishwa na kuizunguka mishipa hii na kupelekea mtu apate maumivu makali ya kichwa na kutanuka zaidi kwa mishipa.

Maumivu makali ya kichwa hupelekea mfumo wa utendaji kazi wa mwili pia ubadilike, mtu atapatwa na kichefuchefu, kutapika, kuharisha, katika utumbo chakula hakitanyonywa vizuri kiingie mwilini, mtu atashindwa kuona vizuri maeneo yenye mwanga na kutopenda kukaa mazingira yenye sauti au kelele.

Vipo vitu mbalimbali vinavyoweza kuchangia mtu apate tatizo la kipanda uso, vitu hivi haimaanishi kuwa ni lazima kusababishe upate na hata kama haupo katika mazingira ya vitu hivi haimaanishi kuwa huwezi kupata tatizo la kipanda uso, miongoni mwa vitu hivyo ni kama vile: sauti kali au kelele, harufu kali, aleji, mwanga mkali, kuvuta sigara, matatizo ya kukosa usingizi, kukaa bila kula kwa muda mrefu, pombe, kubadilika badilika kwa siku za mwanamke (menstrual cycle fluctuations).

Inawezekana ukawa na tatizo hili la kipanda uso, miongoni mwa vitu vinavyowasaidia watu wenye kipanda uso ni kutumia dawa mbalimbali ukijumuisha dawa za maumivu zenye mchanganyiko na caffeine, pia utumiaji wa chai au kahawa umesaidia baadhi ya watu kuwapa nafuu ya maumivu makali ya kichwa.

Tunaweza kupunguza hatari (risk) ya kupata kipanda uso kwa kubadilisha staili ya maisha yetu ya kila siku, kuepuka vitu vyenye harufu kali, kuepuka utumiaji wa tumbaku (sigara), kupata muda wa kutosha kuupumzisha mwili (kulala), kufanya mazoezi, kutokaa bila kula kwa muda mrefu, kunywa maji ya kutosha.Je, unalo tatizo la kipanda uso (Migraine), dalili zako ni zipi na ni vitu gani ukitumia unapata nafuu?

6 comments:

  1. First, I want to complement this site administrator for creating this platform I frequently get cold sores(which lasts for 5-6 days on my lips and its painful both physically and mentally) .. As a bodybuilder, I basically get outbreak due to the daily pressure and heat in the body.. Recently I stumbled upon my salvation. I found a herbal remedy to cure hsv completely, in just 4weeks ..

    I got to know about Dr Utu after seeing a lady's testimony online. I reached the doctor and I ordered for herpes herbal medicine. He sent the herbs to me and I started making use of them. In just 2days, the cold sores are cleared. 4weeks after medication, I went to the hospital for test of cold sores and it was completely NEGATIVE.

    By following every prescription, i was able to cure my cold sore in less than 4weeks. 100% natural herbs no after effect.
    Note: Please do let others know if this work for you.
    The doctor's email is drutuherbalcure@gmail.com
    Note : follow all instructions accordingly..

    If you are sure that you have benefited from this African herbs be courageous to inform others.
    Thanks in advance

    ReplyDelete
    Replies
    1. Traditional herbal medicines are based on the use of natural remedies like Herbs and Roots, no special food no lifestyle change to permanently cure drug resistance diseases. Patients who use this methods will definitely testify. Though not all are natural and may contain heavy elements which the kidney finds difficult to filter and excrete that is why I recommend drutuherbalcure@gmail.com.
      Two years ago I was permanently cured of oral herpes by Dr Utu.
      Dr Utu herbs are hundred percent natural, no after effect and is guaranteed many have testified to this

      Delete
    2. I don't know where to start from because i am overwhelmed. I never thought I will be healed of HIV virus and Genital warts. These Diseases have affected my life in many way and I have lost everything, including my partner and my job in the course of finding solutions to these illnesses. I wish to share to those living with HIV virus and genital warts (HPV), and those suffering from various diseases not to give up, because i never knew i will one day be healed and fine. My faith got back after reading from those who got healed Dr O.Water with his herbal medicines. I hurriedly contacted this great Doctor on drwaterhivcurecentre@gmail.com. He gave me hope that i will be totally healed after the treatment, so i did all he requested and he sent me his herbal medicines with the instructions on how to use it. To my surprise, in the third week, I was noticing great changes in my body system and the warts totally disappeared, though i still did not believe until i was confirmed both HIV and Genital warts absolutely Negative. Please if you are living with any disease it is my advise you write Dr O.Water  for his medicines. He is actually a wonderful man and Godsent, he is kind and very straight forward. His Email is  DRWATERHIVCURECENTRE@GMAIL.COM. His Whatsapp is +2349050205019

      Delete
  2. Sipati usingizi vizur kichwa kinakua kinanikaza sana upande wa kulya

    ReplyDelete
  3. Hello everyone, I want to say a special thanks to Dr OGU. for helping me get cured from herpes virus 2019 , I contacted him base on the testimonies I saw about him on the internet I was diagnosed of HERPES Virus i have tried all I can to get cured but all to know avail, until i saw a post in a health forum about a herbal man who prepare herbal medication to cure all kind of diseases including HERPES virus, at first i doubted if it was real but decided to give it a try I was cured by his herbal medicine and natural herbs, kindly contact him today through his email: drogugusolutionhome@gmail.com or text/call: +1 (719) 629 0982

    He’s waiting to help you.


    HE ALSO SPECIALIZE IN THE FOLLOWING Illness;

    If you have any sickness like : H I V/AIDS , CANCER , HERPES HSV 1 or 2 , GENITAL WARTS, Yeast-infection's (HPV), and Hepatitis A, B. , Tuberculosis, Stroke. Negritis, Daibetics , Trichomoniasis Gonorrhea, Epilepsy, and Syphilis.

    ReplyDelete
  4. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

    ReplyDelete