Tuesday 28 July 2020

FAIDA ZA KUPAKA MAFUTA NYAYONI WAKATI WA KULALA USIKU



KUPAKA MAFUTA NYAYONI

1. Mwanamke mmoja anasema babu yake aliishi miaka 87 bila ya kuumwa na mgongo, viungo, kichwa, meno wala mwili baada ya kufunzwa siri na mzee mmoja wa Kolkata alipokuwa anafanya kazi ya kuweka mawe juu ya reli akamuambia apake mafuta nyayoni kabla kulala.

2. Mwanafunzi mmoja anasema mama yake alikuwa anahakikisha kila siku lazima apake mafuta nyayoni kabla kulala. Na yeye alipodhoofika macho mama yake alimuanzilisha dawa hii na macho yako yakapona.

3. Mfanyabiashara mmoja anaeleza kuwa alipoenda safari mji wa Chitral kwa likizo alishindwa kupata usingizi na akatoka nje kutembea. Askari wa hotel ile akamuuliza shida ni nini, akamuambia hapati usingizi. Yule askari akamuuliza kama anayo mafuta, akasema hana. Askari akamletea mafuta kwenye kichupa akamuambia kusugua nyayoni dakika chache. Baada ya muda mfupi alikuwa anakoroma usingizini.

4. Mimi pia nimeanza kusugua mafuta nyayoni mwangu usiku kabla kulala, sasa nalala vizuri na sina machofu.

5. Nilikuwa na maumivu ya tumbo. Baada ya kusugua mafuta nyayoni siku mbili tu nikapona maumivu.

6. Hii dawa ni kama uchawi. Nilisugua mafuta kwa nyayo yangu kabla kulala usiku na nilipata usingizi mtamu sana.

7. Mimi natumia hii dawa kwa miaka 15 sasa na inanipa usingizi muruwa sana. Nawasugulia wanangu pia nyayoni na wamekuwa na afya njema.

8. Miguu yangu ilikuwa inaniuma sana, nilianza kusugua nyayo yangu kwa mafuta kwa dakika mbili kila usiku kabla ya kulala. Maumivu yangu imepotea yote.

9. Miguu yangu ilikuwa imevimba na nilikuwa nachoka haraka kila napotembea. Nilipoanza kusugua nyayo zangu kwa mafuta, zimerudi kawaida baada ya siku 2 na machofu pia imepotea.

10. Nilianza kusugua mafuta kwenye nyayo yangu kwa dakika mbili kila usiku kabla kulala na nimeanza kupata usingizi mtamu sana.

11. Hii dawa ni ya ajabu sana. Ni bora kuliko vidonge vya usingizi. Sasa nasugua mafuta kwenye nyayo kila usiku kwa ajili ya kupata usingizi murwa.

12. Babu yangu alikuwa anawashwa nyayo na maumivu ya kichwa. Alianza kusugua mafuta ya boga nyayoni na mwasho pamoja na maumivu ya kichwa ilipotea.

13. Nilikuwa na ugonjwa wa thyroid na ilikuwa inasababisha maumivu makali miguuni. Niliambiwa nianze kusugua mafuta kwanyayo kabla kulala. Sijaacha hata siku moja. Sasa sina maumivu.

14. Miguu yangu ilifanya mapele. Nilipoanza kusugua mafuta kwenye nyayo kabla kulala nilikuta tofauti kubwa baada ya siku nne tu.

15. Nilikuwa nina bawasili miaka 13 iliyopia. Sahib wangu mmoja alinipeleka kwa mhenga mmoja mwenye umri wa miaka 90. Alinishauri nianze kusugua mafuta kwa vidole vya mikono, kwenye kucha na pia matone machache kwenye kitovu. Nilianza kutekeleza ushauri wake hakimu na nilipata unafuu mara mmoja mpaka kwenye tatizo la kupata choo. Machofu ya mwili yalipotea na pia kukoroma usingizini, nilijsiikia huru.

16. Dawa ya kusugua mafuta kwenye nyayo ni dawa mujarrab.

17. Kusugua mafuta kwenye nyayo yangu ilinisababishia kupata usingizi haraka.

18. Nilikuwa naumwa na miguu na magoti lakini tangu nimeanza kusugua mafuta kwenye nyayo kila usiku nimepata nafuu na Napata usingizi mtamu.

19. Tangu nimeanza kusugua mafuta kwenye nyayo yangu kila usiku kabla kulala nimepata nafuu kwenye maumivu ya mgongo na Napata usingizi murwa sana.

Siri yenyewe ya kutoka India ni sahali, nyepesi na fupi sana kwa kila mtu popote alipo: Sugua mafuta ya aina yoyote – ikiwa ni ya zaituni au yay a haradali – kwenye nyayo yako kwa muda wa dakika tatu na ukiweza kwenye guu zima kwa muda wa dakika tatu zingine kila guu. Usisahau wala usidharau hata siku moja kusugua mafuta kwenye nyayo na uwasugulie watoto pia hivyo hivyo. Ifanye kuwa desturi kwenye maisha yako kisha usubiri kuona matokeo ya qudra. Kama unavyochana nywele yako kila siku basi uwe unasugua mafuta kwa nyayo kila siku.

Kwa mujibu wa tiba ya asili ya kichina, nyayo za binadamu zina nukta zaidi ya mia zenye kutibu viungo mbalimbali vya mwili zinaposuguliwa. Tumia Mafuta ya Zaituni au Mafuta ya Nazi kujipaka Unyayoni.

7 comments:

  1. First, I want to complement this site administrator for creating this platform I frequently get cold sores(which lasts for 5-6 days on my lips and its painful both physically and mentally) .. As a bodybuilder, I basically get outbreak due to the daily pressure and heat in the body.. Recently I stumbled upon my salvation. I found a herbal remedy to cure hsv completely, in just 4weeks ..

    I got to know about Dr Utu after seeing a lady's testimony online. I reached the doctor and I ordered for herpes herbal medicine. He sent the herbs to me and I started making use of them. In just 2days, the cold sores are cleared. 4weeks after medication, I went to the hospital for test of cold sores and it was completely NEGATIVE.

    By following every prescription, i was able to cure my cold sore in less than 4weeks. 100% natural herbs no after effect.
    Note: Please do let others know if this work for you.
    The doctor's email is drutuherbalcure@gmail.com
    Note : follow all instructions accordingly..

    If you are sure that you have benefited from this African herbs be courageous to inform others.
    Thanks in advance

    ReplyDelete
  2. Subsequently, after spending many hours on the internet at last We have uncovered an individual that definitely does know what they are discussing many thanks a great deal wonderful post. nebraska health and human services phone number

    ReplyDelete
  3. I am FRED and i want quickly recommend DR NCUBE for a Job well done by
    curing me from the genital herpes disease that have be giving me sleepless night. if you want to contact him, Simply do that via email drncube03@gmail.com or 
    call/whatsapp +2348155227532
    he also have #herbs for
    #hiv/aids
    #cancerdisease 
    #fibroid 
    #diabetes

    ReplyDelete
  4. I am really happy that i have been cured from (HERPES SIMPLEX VIRUS) with the herbal medicine of  Dr MOMOH , i have been suffering from this disease for the past 3 years and 4 mouth without solution until i came across the email of this doctor who have cure so many people with his herbal medicine, i also choose to give him a chance to help me and my husband, he told me what to do and i kindly did it, and he gave us his herbal medicine and direct me on how to use it, i also follow his instructions for use and he ask us to go for a check up after 1 week and 5days which i did, to my greatest surprise our result came out as negative, we are really happy that there is someone like this doctor who is ready to help anytime any day. To all the readers and viewers that is doubting this testimony, stop doubting it and contact this doctor if you really have one and see if he will not actually help you. i am not a stupid woman that i will come out to the public and start saying what someone have not done for me and i know that there are some people out there who are really suffering and hurting their family just because of these diseases so you can Email him on dr.momoh9@gmail.com OR WHATSAPP him on +2347083724098  he also told me that he has cure for these diseases listed below . HERPES SIMPLEX VIRUS. .DIABETES . CANCER .HEPATITIS .HIV/AIDS Thank you for your time 

    ReplyDelete
  5. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

    ReplyDelete
  6. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

    ReplyDelete