Friday 17 April 2020

RANGI YA MKOJO WAKO INASEMA KITU GANI KUHUSU AFYA YAKO?

Mwili una mifumo mbalimbali ambayo hushirikiana kwa karibu katika ufanyaji kazi. Mara nyingi matatizo katika mfumo fulani huweza kuonekana katika mabadiliko kadhaa ya kimwili ambayo huweza kuonekana nje ya mwili.

Mkojo ni moja ya viashiria vya matatizo mbalimbali mwilini hasa matatizo katika mfumo wa mkojo.

Zifuatazo ni rangi za mkojo na maana zake katika Afya ya mhusika.

1. Mweupe kabisa (Usio na Rangi)
Unakunywa maji mengi kupita kiasi. Ikiwezekana unashauriwa upunguze kidogo

2. Manjano iliyochanganyika na Kijani kidogo
Ni kawaida, una afya na Mwili wako una maji ya kutosha.

3. Manjano iliyopauka
Upo kawaida tu


4. Njano iliyokolea
Upo kawaida lakini unashauriwa kunywa maji baada ya muda mfupi

5. Njano inayokaribia kufanana na Kahawia au Rangi kama ya Asali
Mwili wako hauna maji ya kutosha. Kunywa maji kwa wingi sasa.

6. Rangi ya Kahawia
Huwenda una Matatizo kwenye Ini lako au Upungufu mkubwa wa Maji mwilini. Kunywa maji ya kutosha na umwone daktari kama hali hii ikiendelea.

7. Rangi ya Machungwa yaliyoiva
Una upungufu wa maji mwilini au uwezekano wa matatizo katika ini au mfuko wa nyongo hivyo umuone daktari. Inaweza kutokana na rangi ya chakula pia(food dye).

8. Rangi ya bluu au kijani
Inaweza kusababishwa na rangi za chakula, athari za dawa au ishara ya maambukizi ya bakteria. Muone daktari endapo itaendelea kwa muda mrefu.

9. Rangi ya Pinki inayokaribia kuwa kama Nyekundu
Kama hujala matunda yoyote nyenye asili ya uwekundu, basi huwenda una Damu kwenye kibofu chako cha mkojo. Inaweza ikawa sio ishara mbaya. Lakini inaweza ikawa ishara ya ugonjwa wa Figo, uvimbe, matatizo kwenye njia ya mkojo, au matatizo kwenye kibofu. Muone daktari haraka iwezekanavyo.

10. Mkojo wenye mapovu
Inaweza kuwa ishara ya matatizo ya figo au protini zilizozidi mwilini. Muone daktari endapo inakutokea mara kwa mara.

11. Rangi nyingine(ukiondoa zilizotajwa juu)
Inaweza kusababishwa na rangi za chakula, dawa au kemikali nyingine. Kama huna uhakika ni vyema kumuona daktari.

5 comments:

  1. Blog Ni nzuri ila inahitaji marekebisho kidgo Kama hamtojali text me whatsap 0656391899

    ReplyDelete
    Replies
    1. Traditional herbal medicines are based on the use of natural remedies like Herbs and Roots, no special food no lifestyle change to permanently cure drug resistance diseases. Patients who use this methods will definitely testify. Though not all are natural and may contain heavy elements which the kidney finds difficult to filter and excrete that is why I recommend drutuherbalcure@gmail.com.
      Two years ago I was permanently cured of oral herpes by Dr Utu.
      Dr Utu herbs are hundred percent natural, no after effect and is guaranteed many have testified to this

      Delete
    2. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

      Delete
  2. I am really happy that i have been cured from (HERPES SIMPLEX VIRUS) with the herbal medicine of  Dr MOMOH , i have been suffering from this disease for the past 3 years and 4 mouth without solution until i came across the email of this doctor who have cure so many people with his herbal medicine, i also choose to give him a chance to help me and my husband, he told me what to do and i kindly did it, and he gave us his herbal medicine and direct me on how to use it, i also follow his instructions for use and he ask us to go for a check up after 1 week and 5days which i did, to my greatest surprise our result came out as negative, we are really happy that there is someone like this doctor who is ready to help anytime any day. To all the readers and viewers that is doubting this testimony, stop doubting it and contact this doctor if you really have one and see if he will not actually help you. i am not a stupid woman that i will come out to the public and start saying what someone have not done for me and i know that there are some people out there who are really suffering and hurting their family just because of these diseases so you can Email him on dr.momoh9@gmail.com OR WHATSAPP him on +2347083724098  he also told me that he has cure for these diseases listed below . HERPES SIMPLEX VIRUS. .DIABETES . CANCER .HEPATITIS .HIV/AIDS Thank you for your time 

    ReplyDelete
  3. Am Lisa by name, i was diagnosed with Herpes for 3years ago i lived in pain with the knowledge that i wasn't going to ever be well again i contacted so many herbal doctors on this issue and wasted a large sum of money but my. condition never got better i was determined to get my life back so one day i saw mr Brown post on how Dr Aba saved him from the VIRUS with herbal medicine i contacted Dr Aba on his email address dr.abaherbalhome@gmail.com we spoke on the issue i told him all that i went through and he told me not to worry that everything will be fine again so he prepared the medicine and send it to me through courier service and told me how to use it,after 14days of usage I went to see the doctor for test ,then the result was negative,am the happiest woman on earth now. this testimony is real.thanks to Dr Aba God bless you. you can also reach him on his whatsApp number +2348107155060   

    ReplyDelete