Tuesday 19 August 2014

MAAJABU YA MIMBA HONGERA KWA KUPATA MIMBA PARTI- 2

Wiki ya Nne



Wiki
ya
Nne

· Bado huwezi kujisikia tofauti kuliko kawaida.
· Yai lililochavushwa limefika katika tumbo la uzazi, na
baada ya kukaa kwa siku tatu linajifungia na tabaka la
tumbo la uzazi. Linachukua lishe yake kutoka kwenye
mishipa ya damu ya mama ambayo inapita pale, na
inaanza kutengeneza kondo.


Wiki
ya
Tano
· Umekosa siku za mwezi, lakini huna hakika bado. Matiti
yanaweza kuwa mepesi kuumia na kuongezeka vipimo
kidogo. Unaweza kutaka kukojoa mara nyingi kuliko
kawaida.
· Mimba imefika milimeta 2 - ungeweza kuona ungeweza
kuangalia ndani ya tumbo la uzazi. Kiumbe kina uti wa
mgongo wake na ubongo wake una sehemu mbili


Wiki Mendeleo ya Mtoto na Mama Wakati wa Ujauzito

Baadhi ya Adha Ambazo ni Kawaida kwa Wajawazito
Adha/Kero Namna ya Kuondoa
Kuchefukwa
roho
asubuhi;
kichefuchefu,
na mchefuko
wa tumbo
baadaye
mchana
Kula kitu chochote mara tu uamkapo. Kula
kidogo mara kwa mara vyakula vya wanga au
matunda au biskuti wakati wa mchana. Epuka
kukaa na njaa.
Kufunga
choo
Kula vyakula vyenye nyuzinyuzi, vyakula vya
nafaka, matunda mabichi na mbogamboga na
vyakula vya jamii ya kunde (maharage na
nyegere). Kunywa angalau bilauri (au
vikombe) saba hadi vinane vya majimaji
(usihesabu kahawa au chai) kila siku. Fanya
mazoezi kiasi kila siku.
Kuvimbiwa/
Kujaa Gesi
Jaribu kujilegeza, hasa wakati wa kula
chakula, usile chakula kwa pupa. Kula milo
sita kidogo kidogo kwa siku. Epuka “vyakula
vinavyotengeneza gesi” kama vile maharage,
kabichi na vitunguu.
Kiungulia
Epuka vyakula vilivyokaangwa, vyenye mafuta
mengi, nyama ya mbavu. Usitumie krimu kali,
vileo, soda, kahawa. Jilegeze. Vaa mavazi
yasiyobana kiuno. Lala chali.
Uangalizi wa
Matiti
Vaa sidiria ili kulinda matiti, hata wakati
unapolala.
Kuvimba
Epuka vyakula vyenye chumvi nyingi, lakini
usiache kuweka chumvi kwenye chakula
chako.
Uchovu
Kula chakula chenye virutubishi vya kutosha.
Pata muda wa kutosha kupumzika, lala
angalau kidogo wakati wa mchana.

vile vichomi, kikohozi, mafua na polio. Chakula hiki cha ajabu
ambacho wewe unatengeneza, maziwa yako, ndicho chakula
pekee anachohitaji mwanao katika kipindi cha miezi sita ya
mwanzo ya uhai wake. Usimpe kitu chochote kingine kwa miezi
minne ya kwanza – hata maji, au uji, au mchuzi wa machungwa,
maana vinaweza kusumbua tumbo lake. Tumbo lake linahitaji
maziwa tu mpaka afike umri wa miezi minne.
Wakati wa matunzo ya mwanao, kumbuka, unachokula
hujionyesha katika maziwa yako. Ukila chakula fulani ambacho
mtoto wako kinamletea madhara, ni wazi madhara yataonekana.
Kama mtoto wako umnyonyeshaye akishindwa kuvumilia maziwa
yako, daktari wako atakushauri kuacha kula aina fulani ya chakula
unachokula.
Lishe Inayofaa Wakati wa Ujauzito:
Kumpa mtoto nafasi nzuri ya kukua vema na afya bora
Jambo moja jema unaloweza kufanya kwa ajili ya mtoto
wako mchanga kabla hajazaliwa ni kula lishe bora na kuhakikisha
unampa mtoto mlo ambao unaviini-lishe ambavyo mtoto anahitaji ili
azidi kukua. Hii haina maana kuwa unakula mlo wa ‘watu wawili.’
Ina maana kuwa huna budi kula kwa afya ujihadhari kuwa wewe na
mtoto unahitaji zaidi virutubisho wakati wa ujauzito na ulezi wa
mimba.
Ujauzito huongeza mara dufu myeyuko wa chakula mwilini,
hivyo fahamu kuwa wakati huu wa ujauzito unahitaji nguvu za
ziada -- lakini si uwingi wa vyakula ndio unahitajika, bali ni ubora
au thamani ya chakula. Unahitaji kiasi kinachotosheleza na
chenye aina zote za vyakula:
Maziwa Maziwa, jibini, mtindi
Nyama Samaki, nyama, kuku, maharage
makavu au njegele, mayai, njugu,
mbegu, siagi ya karanga
Nafaka Nafaka zote kama vile Ugali, uji,
au mikate, biskuti, wali
Matunda na
Mbogamboga
Matunda yenye vitamini C jamii ya
machungwa, forosadi, mboga
zenye Vitamin A za kijani,
spinachi
Chakula chenye uwiano sahihi ndani yake kikiwa na vitamini
na madini chafaa sana na ni cha muhimu kwako na kwa mtoto. Ili
mtoto apate virutubisho katika mfululizo mahususi, ni vema kula
chakula kidogo kidogo lakini mara nyingi kuliko kula chakula kingi
sana mara mbili au tatu na ukakaa bila chakula kwa muda mrefu.
Katika sehemu ifuatayo, utajifunza mabadiliko ambayo mwili
wako utayapata wakati mtoto anapokua ndani yako. Itadhihirika na
utaona ni kwa nini lishe bora ni ya muhimu.

matumbo ya mtoto, humlinda mtoto dhidi ya maambukizi.
Baada ya nyonyo zako kutoa yale maji maji, zitaanza kutoa
maziwa ya ‘mpita’ ambapo baada ya majuma mawili maziwa halisi
yataanza kutoka. Hivi haya maziwa halisi yana virutubisho gani?
Kiasi cha asilimia 88 ni maji. Virutubishi vingine ni asilimia 55
mafuta, asilimia 37 vyakula vya wanga na asilimia 8 protini.
Mtajuaje kuwa mtoto wako ana njaa? Atakujulisha tu. Njia
nzuri ya kumlea mtoto ni kumnyonyesha kila anapoonekana kuwa
na njaa.
Unapomnyonyesha mwanao, utahitaji vyakula vyenye ubora
wa juu kuliko hata wakati wa ujauzito, na utakitaji kalori nyingi zaidi
ili utiwe nguvu kuliko wakati wa ujauzito. Uzito uliokuwa nao
wakati wa ujauzito sasa utahifadhiwa kama mafuta ndani ya mwili
wako, na yatakupatia nguvu zinazohitajiwa katika kutoa maziwa au
kutengeneza maziwa. Lishe bora iliyojaa vitamini zote
zinazohitajiwa mwilini siyo tu kwamba itakuwezesha kutunga
maziwa mengi, bali maziwa yako yatakuwa yenye viinilishe
ambavyo hasa vitamnufaisha mtoto wako.
Neno kuhusu madawa: Kwa vile inafahamika kuwa dawa
nyingi zinaweza kupitishwa kutoka kwa mama hadi kwa mtoto
wakati wa kunyonyesha, mwone daktari wako akushauri juu ya tiba
zozote utakazohitaji wakati wa kumlea mwanao.
Lishe kwa Mtoto Wako
Zipo sababu nyingi kwa nini unyonyeshaji ni njia bora zaidi
ya kumlisha mtoto wako. Maziwa ya mwilini mwako hayawezi
kumdhuru mtoto wako kwa hali yoyote. Zaidi ya hayo, viini
vilivyoko katika maziwa yako huongeza kinga ndani ya mwili wa
mwanao, au uwezo wa kujikinga na kupigana na maambukizi.
Watoto wanyonyeshwao wanafahamika kuwa huwa
hawasumbuliwi sana dalili za kutokwa na makamasi, vipele au
ukurutu, kutematema mate, pumu, na mchango (msokoto wa
tumbo) au mhangaiko. Viini vilivyoko ndani ya maziwa pia vinaua
bakteria, ukungu na virusi vya magonjwa. Watoto wanyonyeshwao
na mama zao hawana matatizo ya kuhara au kushindwa
kuyeyusha chakula mwilini. Na, utafiti umeonyesha kwamba
maziwa ya mama yana uwezo wa kupambana na magonjwa kama

Nini Kinatokea Baada ya Mtoto Kuzaliwa
Baada ya mtoto kuzaliwa, mji wa mimba utaendelea
kunywea na hivyo kinachofanyika kondo la nyuma huanza
kusukumwa nje. Wakati haya yamefanyika wewe tayari utakuwa
na kitoto chako kichanga mkononi mwako bado kikiwa kimelowa
na pengine kikilia. Wakati huu unaweza kujisikia kwamba hapa
ulimwenguni hakuna mwingine isipokuwa ni wewe na kichanga
chako tu. Akina mama wengi hujisikia kuwa na mchanganyiko wa
kusisimka na mshangao na hupata nafuu ikiwajia mwilini mwao.
Wanawake wengi pia hujisikia mshituko unaowafanya
watetemeke baada ya kujifungua. Hii ni hali ya kawaida
inayojitokeza kwa wazazi lakini hupungua baadaye. Mkunga
atamsafisha mtoto na kukushona iwapo daktari aliongezea njia ili
kutoa nafasi kwa mtoto azaliwe. Tabibu atakikata kile
kiungamwana, na kile kipande kilichosalia hukauka baada ya juma
moja hapo kipande kinapoanguka hubaki na kitovu. Iwapo
kiungamwana hakijakatika ndani ya kipindi cha siku kumi basi
muone tabibu wako.
Ndani ya kipindi cha majuma sita, mji wa mimba hurejea
katika hali yake ya kawaida ya tumbo la uzazi na uzito, na urefu
wake ambao ni: sm 5 kwa sm 8, uzito wake ni kama 75g. Idadi ya
mimba utakazopata, mazoezi, kunyonyesha na hali yako ya mwili
kwa ujumla vyote hivyo vitachangia kubainisha utarejea katika hali
yako na umbo lako lini.
Kunyonyesha & Lishe kwa Mama Anyonyeshaye
Wataalam wanafikiria kuwa unyonyeshaji ni njia bora ya
kustawisha afya ya mtoto mchanga. Zaidi ya kumpatia lishe bora
mtoto na kumpa faida za kitabibu, unyonyeshaji unakufanya
kujisikia vizuri sana. Ni njia nzuri ya kukuambatisha wewe na
mtoto wako kukupatia uzoefu wa aina yake wa ukaribu baina yako
na mtoto mchanga.
Mtoto anapofyonza nyonyo zako zinatoa maziwa, ingawaje
uvujaji wa maziwa hasa huanza siku kadhaa baada ya kujifungua.
Mpaka hapo, mtoto hulishwa kwa majimaji yanayotoka kwenye
nyonyo baada ya kujifungua japokuwa si maziwa halisi. Majimaji
haya ambayo huitwa danga, yanao uwezo wa kusafisha utumbo na



Wiki ya Sita
· Unaweza kujisikia kutapika unapoamka
asubuhi au unapopika. Sehemu ya kike
**** itakuwa na rangi ya sambarau. Mji wa
uzazi umefikia vipimo kama chenza.
· Mtoto ameanza kuwa na kichwa na mwili, na
ubongo wake ni mkubwa. Ana mwanzo wa
miguu na mikono. Mwisho wa wiki hii, ana
damu na mishipa ya damu. Ana taya na
mdomo, na mwanzo wa meno kumi kila
upande wa taya. Vipimo vyake ni kama
chembe cha mchele, yaani mm 6.

Wiki ya Saba
· Unaweza kujisikia kizunguzungu ukisimama
muda mrefu. Matiti yameongezeka vipimo
na chuchu zinasimama zaidi. Labda
unajisikia kama kulia machozi kwa urahisi.
· Mtoto ana miguu na mikono, na mashimo
mwishoni ambayo yatakuwa vidole. Uti wa
mgongo na ubongo ni kamili, na kichwa
kinaonekana kama binadamu, na matundu
ya pua na mdomo. Anaanza kupata
mapafu. Mtoto ana sm 1.3.




Wiki ya Nane
· Unaweza kukuta kwamba huna hamu ya
kula vyakula fulani. Labda utatoa kama
majimaji sehemu za siri, lakini bila harufu au
maumivu.
· Mtoto ana ini, mafigo, utumbo n.k. ingawa
hazijakamilika bado. Anaanza kuwa na
macho na masikio, na uso wa binadamu.
Ana sm 2.5.



0 comments:

Post a Comment