Thursday, 24 July 2014

MAAJABU YA TUNDA LA STAFERI KUPONYA MARADHI YA KANSA (CANCER)





MAAJABU YA STAFELI
TUNDA la stafeli linatibu
magonjwa kadhaa, ikiwamo
saratani kwa ubora wa karibu
mara 10,000 ya matibabu ya
kawaida yanayopatikana

kwenye vituo vya afya, utafiti umebaini. Utafiti huo uliofanyika katika
Chuo Kikuu cha Dawa cha Purdue
nchini Marekani, umeeleza kuwa
mbali na kutibu saratani, tunda
hilo pia ni tiba ya matatizo ya

Msongo na mfadhaiko. “Maajabu ya stafeli ni kwamba
lina uwezo wa kuangamiza
chembehai zenye saratani pasipo
kusababisha madhara katika

mwili kama zinavyofanya dawa
nyingine za ugonjwa huo au mionzi,” imesema sehemu ya
utafiti huo uliochapishwa kwa

mara ya kwanza katika Jarida la
Kemia na Madawa la nchini

Marekani, mwaka 2010. Taasisi ya utafiti wa Saratani ya
Nchini Uingereza(NIR) ilifanya
utafiti wa kwanza kuhusu

Maajabu ya stafeli mwaka 1976. Katika utafiti huo ilibainika kuwa
majani, mizizi na tunda la stafeli,
vina uwezo wa kutibu saratani,
lakini matokeo ya utafiti huo
hayakutangazwa kwa umma

kwa hofu ya kuua viwanda vya dawa za saratani. Inaelezwa kuwa kirutubisho
kilichopo katika stafeli kinatumia
jina la kibiashara la
‘Triamazon’ na kimepigwa
marufuku kutumika nchini

Uingereza na Marekani kutokana na uwezo wake mkubwa wa
kitiba. Utafiti mwingine uliofanywa na
Chuo Kikuu cha Kikatoliki nchini
Korea na kuchapishwa katika
jarida la Bidhaa Asilia ulibaini
kuwa stafeli lina uwezo wa

kuponya saratani ya tumbo. Utafiti wa chuo hicho ulienda
mbali na kusema kuwa tunda hilo
linaweza kulenga seli za saratani
tu, bila kushambulia seli muhimu
za mwili kama ambavyo tiba ya

mionzi ifanyavyo. Tunda la Stafeli lina kirutubisho
muhimu kiitwacho Annona
Muricata, ambacho ndicho chenye
uwezo wa kupigana na maradhi

ya saratani. Imeelezwa kuwa stafeli lina
uwezo wa kutibu aina 12 za
saratani ikiwemo ya matiti,
kongosho, mapafu na ya kibofu
cha mkojo. Pamoja na kutibu saratani,

kirutubisho hicho kilichopo katika
tunda hilo pia huweza kutibu
vimelea, shinikizo la damu,
msongo wa mawazo, matatizo ya

mfumo wa fahamu na sukari. Utafiti huo unaonyesha kuwa
kirutubisho kimegwacho katika
tunda hilo kinaweza kwa asilimia
kubwa kupambana na saratani
bila kumuacha mgonjwa na
madhara kama kusikia kichefuchefu, kutapika, kupungua
uzito na kunyonyoka nywele.

Related Posts:

  • FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NYANYA.... FAIDA ZA KIAFYA ZA KULA NYANYA.... Hili ni tunda mashuhuri na lenye virutubisho ambalo kwa kawaida hutumika kama mbogamboga. Kwa wastani, watu hula takribani kilo 8 za nyanya kwa mwaka. Nyanya zina aina mbalimbali z… Read More
  • FAIDA ZIPATIKANAZO KWA KUTUMIA TUNGUJA PORI,NYANYA ZA MSHUMAA/CHUNGU/NGOGWE KIAFYA. Wengi tumekuwa tukitumia kama mboga au kiungo kimoja wapo katika kunogesha mboga lakini wachache mno wanaojua faida za nyanya chungu kiafya. Pamoja na kufanya mboga kuwa na ladha na harufu ya aina yake, nyanya chu… Read More
  • FAIDA YA MBEGU ZA TIKITIMAJI Faida ya kutafuna mbegu za tikiti maji TIKITI MAJI ni moja ya matunda yanayolimwa sana  katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania tofauti na miaka iliyopita. Hii inaashiria kwamba tunda la tikiti maji l… Read More
  • NANASI KINGA DHIDI YA MAGONJWA YA UVIMBE Mwili unapokosa kinga imara, huwa katika hatari ya kushambuliwa na kila aina ya magonjwa. Katika orodha hiyo ya magonjwa, yamo pia yale ya kutokwa na uvimbe yakiwemo majipu. Kitaalamu magonjwa haya yanajulikana kama ‘Infl… Read More
  • FAIDA YA TUNDA LA APPLE (TUFAHA) KIAFYA "Apple" kwa kiswahili nafikiri linaitwa tunda damu, Tunda hili liko la aina tofauti yako ya kijani yako mekundu na haya mekundu ndio yaliyo mazuri zaidi na pia yanasemakana matunda mazuri zaidi ni yale ya Euro… Read More

0 comments:

Post a Comment