Monday 26 May 2014

TAMBUA ASALI HALISI KWA NJIA HII RAHISI KABISA POPOTE UTAKAPO KUWEPO.




Matumizi ya Asali ni mazuri kwa afya yako lakini ikiwa tu utatumia ASALI HALISI na sio asali ILIYOCHAKACHULIWA. Ukitumia asali halisi utapata matokeo unayoyategemea na sivinginevyo.

Kutambua asali halisi fata mtiririko huu:-


1.Chukua glass unayoweza ona ndani kwa urahisi.


2.Jaza maji angalau nusu

3.Dondoshea asali taratibu kwenye glass yenye maji kama inavyoonekana kwenye picha.

4.Asali halisi inatakiwa iende mpaka chini na kutulia na isijichanganye na maji.

Kama asali uliyonayo sio halisi pindi itakapogusa maji tu itajichanganya na maji hayo.



Alisema njia ya pili ni kuiweka Asali kwenye njiti ya kibiriti na kisha kuiwasha ikiwa 


njiti hiyo itawaka basi Asali haijachakachuliwa kwa kuchanganywa na chochote lakini njiti ya kiberiti isipowaka inakuwa ni feki.

Aidha, Kamote aliongeza kuwa wizara yake imekuwa ikiwasisitiza wafanyabiashara 

wa bidhaa hiyo kuwa waaminifu na kuwauzia wateja waoe bidhaa halisi na wale ambao bidhaa zao zinagundulika zimechakachuliwa ziharibiwa.

Aliongeza kuwa njia nyingine ni kuonja bidhaa hiyo na kwamba iliyokachuliwa kwa 

kuchemsha inatoa harufu ya moshi tofauti na ambayo ni halisi.

TOFAUTI YA ASALI YA NYUKI WADOGO NA NYUKI WAKUBWA

Asali za NYUKI WAKUBWA na WADOGO zina tofautiana katika mambo kadhaa na hvyo ni muhimu kujua tofauti hizo kabla hujanunua ili kua na uhakika.

NYUKI WADOGO
1. Ni nyepesi zaidi kwani ina kiwango cha maji kuanzia asilimia 24

2. Ina ladha ya UCHACHU ingawa ni tamu sana.

3. Mara nyingi ina rangi ya KAHAWIA ILIYOKOLEA inayoenda kwenye WEUSI

NYUKI WAKUBWA
1. Ni nzito kuliko ya nyuki wadogo kwani ina kiwango cha maji kuanzia asilimia 17 hadi 20.

2. Ni tamu moja kwa moja bila kua na ladha ya uchachu kama nyuki wadogo

3. Ina rangi nyingi kuanzia NYEUPE, NYANO, KAHAWIA ILIYOPOA, KAHAWIA ILIYOKOZA n.k

Hizo ni tofauti za muhimu kuzijua kwani zitakuwezesha kupata asali unayoitaka na kuepuka kuibiwa.


NJIA RAHISI YA KUANGALIA UHALISIA WA ASALI

Unaweza tumia njia hii ukiwa mahali popote na kwa mda mfupi kabisa.
1. Chukua asali kiasi kidogo 

2. Chukua mshumaa wako ulio vizuri

3. Dumbukiza pamba ya kwenye mshumaa kwenye asali kidogo na kisha tingisha mshumaa wako kuondoa asali ya ziada kwenye pamba.

4. Jaribu kuwasha pamba ya mshumaa wako

5. Pamba ya mshumaa ikiwaka moto na kutozima basi tambua asali hiyo ni HALISI na haijachanganywa na kitu kingine kama maji.

6. Mshumaa ukigoma kuwaka jua asali hiyo sio halisi kwani itakua imechanganywa na vitu vingine kama maji n.k



3 comments:

  1. Ntaipata wapi hiyo asali original

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hello, everyone! I,m here to explore blogs and forum about wonderful and most safe cure for (Herpes Virus).I was positive to the deadly virus called herpes and i lost hope because i was out casted and rejected even by my closet friends.i searched on-line to know and enquirer about cure for Herpes and i read someone testimony on how he was cured from Herpes so i decided to contact the same herbalist because i know that nature has the power to heal everything.i contacted him to know how he can help me and he told me never to worry that he will heal me with the natural herbs from God!after 2 days of contacting him, he told me that the cure has been ready and he sent it to me via DHL and it got to me after 3 days!i used the med as he instructed me (MORNING and EVENING) and i was cured!its really like a dream but i am so happy!thats the reason i decided to also add more comment of Him so that more can be saved just like me!and if you need his help, you can email him on nativehealthclinic@gmail.com, or whatsapp +2348140073965 I,m neme amber and you can get in touch with me via nemeamber@gmail.com..Contact him for help at Herpes virus HIV/AIDS CANCER COPD BRAIN TUMOR All kind of virus and disease

      Delete
  2. Hello, everyone! I,m here to explore blogs and forum about wonderful and most safe cure for (Herpes Virus).I was positive to the deadly virus called herpes and i lost hope because i was out casted and rejected even by my closet friends.i searched on-line to know and enquirer about cure for Herpes and i read someone testimony on how he was cured from Herpes so i decided to contact the same herbalist because i know that nature has the power to heal everything.i contacted him to know how he can help me and he told me never to worry that he will heal me with the natural herbs from God!after 2 days of contacting him, he told me that the cure has been ready and he sent it to me via DHL and it got to me after 3 days!i used the med as he instructed me (MORNING and EVENING) and i was cured!its really like a dream but i am so happy!thats the reason i decided to also add more comment of Him so that more can be saved just like me!and if you need his help, you can email him on nativehealthclinic@gmail.com, or whatsapp +2348140073965 I,m neme amber and you can get in touch with me via nemeamber@gmail.com..Contact him for help at Herpes virus HIV/AIDS CANCER COPD BRAIN TUMOR All kind of virus and disease

    ReplyDelete