Friday 23 May 2014

MAAJABU YA MATUNDA NI TIBA ILIYODHARAULIWA

 


Karoti ina protini kidogo na haina mafuta kama tulivyoona kwa tunda la avocado. Pia ina asili ya wanga, na ni chanzo kizuri cha vitamini B, C na E. Aidha ina madini mengi ikiwemo madini ya chuma. Kuna kitu kinaitwa beta-carotene ambayo imo ndani ya 
karoti na hii ikiingia mwilini inabadilishwa na kuwa vitamini A. Vile vile karoti ina kirutubisho kinachoitwa fiber ambacho ni muhimu kwa kukinga kuta za utumbo.
Karoti  inasaidia kukinga na kuponya magonjwa kama macho hasa kutoona gizani au 
kwenye mwanga hafifu, ngozi, kupunguza tindikali inayodhuru tumboni na kukinga magonjwa yenye asili ya kansa.Karoti inaweza kuliwa kwa namna mbalimbali kama 
vile, ikiwa mbichi kwa kutafuna, inaweza kupikwa na kuchanganywa na mbogamboga zingine, inaweza kusagwa na kupata juisi ambayo pia inaweza kuchanganywa na juisi 
zingine, aidha kukatwakatwa na kuchanganywa kwenye saladi ya matunda  na mbogamboga. Machicha ya karoti iliyosagwa yanaweza kutumika kama dawa kukinga ama kuponya maradhi ya nje ya mwili. 

                                                       JUISI YA KAROTI
  MAEMBE NI MUHIMU KATIKA KUTENGENEZA SELI ZA DAMU NA KUZILINDA NA BAKTERIA
MACHUNGWA NA JAMII YAKE YANAUWEZO MKUBWA WA KIMARISHA MENO NA MIFUPA 
PARACHICHI LINASAIDIA NGOZI KUWA NA KINGA YA MAGONJWA SHAMBULIZI KUPITIA NGOZI KAMA MBA NA INASAIDIA NYELE KUWA IMARA NA KUREKEBISHA MAFUTA(CHOLESTEROL)

 
KOKOMANGA NI TUNDA LENYE UWEZO MKUBWA KUPAMBANA NA KANSA ZA AINA ZOTE MWILINI.

  NYANYA NI KINGA NZURI YA INI LISIARIBIA AU KUSHAMBULIWA NA BAKTERIA

        NDIZI MBIVU NDIO TUNDA PEKEE DUNIANI LENYE UWEZO WA KUPAMBANA NA VIRUSI VYA UKIMWI 

ZABIBU LINAUWEZO MKUBWA KATIKA KUONGEZA DAMU MWILINI NA KUONGEZA NGUVU WAKATI WA UZEE SIKU ZAKO MAISHA DUNIANI ZIKAONGEZEKA.

                                                     ONYO
  • EPUKA KUNYA JUISI ZA VIWANDANI HAZITENGENEZWI NA MATUNDA HALISI BALI NI KEMIKALI KALI KWA AJILI LA LADHA NA HARUFU YA TUNDA ZINAMADHARA KATIKA MWILI WA BINADAMU KAMA KANSA, INI KUHARIBIKA, DAMU KUWA NA SUMU, ZINAPUNGUZA UMRI WA KUISHI, TAKE CARE JIPENDE KWA KULA NA KUNYA  KILICHO BORA.

0 comments:

Post a Comment