Thursday, 15 May 2014
DAWA YA KUTIBU MUWASHO WA MWILINI
Dawa ingine ya Muwasho
siyo lazima uwe wa mwili tu, bali kuna sehemu mbalimbali za mwili ambazo
zimejificha na fangasi uenda kujihifadhi katika sehemu hizo nazo unaweza kutumia maji ya aloe vera kwa
kutibu . Kwa jinsi gani unaweza kujizuia au kujitibu na muwasho kwa kutumia aloe vera. Jinsi ya kuandaa maji
ya Aloe vera kwa ajili ya kutoa muwasho na bateria.Chukuwa vikwanya vitano vya alovera kisha safisha kwa
maji safi, kata vipande hivyo kwenye sufuria ya kilo moja. Jaza maji kisha uweke jikono kwa ajili ya
kuchemka. Epua na uyaweke pembeni kwa ajili ya kpoa aukuwa na hali ya uvuguvugu. Toa majani ya
aloe vera katika sufuria na kisha weka katika ndoo tayari kwa kuonga.
Angalizo
Baada ya kuoga unatakiwa kukaa na maji hayo mpaka yatakapo kauka mwilini pia ni dawa ya harara na kufanya ngozi kuwa nyororo. Angalia Picha chini ya Aloe Vera.
Related Posts:
BAMIA INAWEZA KUTIBU TATIZO LA KISUKARI Wanasayansi nchini Marekani wamegundua kuwa Bamia ina virutibisho vinavyo weza kumsaidia mtu mwenye tatizo la Sukari.… Read More
MARADHI YA KIPANDAUSO (MIGRAINE) CHANZO DALILI TIBA NA JINSI YA KUJIKINGA Kuumwa na kichwa kumegawanyika sehemu kuu nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yame-advance. Kama vile concussion of brain,meningitis,encephaliti, na stroke. Kuumwa na kichwa pia in… Read More
MCHANGANYIKO WA KITUNGUU SAUMU NA MAZIWA HALISI YA NG'OMBE NI TIBA YA MARADHI MENGI MCHANGANYIKO WA KITUNGUU SAUMU NA MAZIWA HALISI YA NG'OMBE NI TIBA YA MARADHI YA PUMU,MARADHI YA HOMA YA MAPAFU,MARADHI YA KIFUA KIKUU,MARADHI YA MISHIPA YA MOYO,MARADHI YA KIFUA,UKOSEFU WA KUPATA USINGIZI NA MARADH… Read More
TIBA YA MARADHI YA SARATANI YA DAMU (LEUKEMIA) SARATANI YA DAMU (LEUKEMIA) Leukemia ni Saratani inayoshambulia tishu za mwili zinazohusika na utengenezaji wa damu zikiwemo supu ya mifupa (bone marrow) na mfumo wa lymph (lyphatic system). Kwa maneno rahisi, leukemia … Read More
TIBA YA MBA KWA KUTUMIA MBEGU ZA MPAPAI Mbegu Za Papai Tiba ya Mba Pia mapapai yaliyoiva yanatibu mapunye (ringworm), mabichi yanatibu msukumo mkuu wa damu (high blood pressure), mapapai yanatumika kama mkuyati (aphrodisiac), yanatumika kama kituliza maumivu… Read More
0 comments:
Post a Comment