Tuesday, 29 April 2014

FAIDA ZA KIAFYA ZIPATIKANAZO KWA KUTUMIA MBOGA YA MCHICHA.


MCHICHA ni  mboga  maarufu miongoni  mwa  watanzania. Mbali  na  kutumiwa  kama  mboga, mchicha  ni  tiba  ya  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya.


Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mchicha  huweza  kutibu   matatizo  yafuatayo :
i.             Kuumwa mgongo
ii.           Kusafisha njia ya mkojo
iii.         Kusafisha damu
iv.         Unatibu Magonjwa  ya  Figo
v.           Unatibu minyoo
vi.         Unatibu Baridi yabisi
vii.       Tezi la shingo
viii.     Homa
ix.         Kuongeza damu
x.           Unasaidia kupata haja ndogo kwa wingi
xi.         Unarutubisha  uwezo  wa  kuona  vizuri.


JINSI  YA  KUTUMIA  MCHICHA  KAMA  DAWA
MATAYARISHO
Chukua mchicha kilo 1  ya  mchicha, chemsha maji lita 2 na nusu. Yakichemka loweka mchicha kwa dakika 15. Tumia kikombe. Ni bora utumie yote kwa siku . Dozi ni siku 5


KAMA  UNATAKA  KUTIBU MGONGO: Chukua mchicha ponda. Chua mara 3 kwa siku. Usiku unapasha moto mchicha kisha unufunga mahali panapouma. Lala nao wakati vuguvugu la joto lake lenye maji ndani (dawa) ikiingia ndani fanyahivyo kwa siku 5, ukibadilisha kila siku (fresh)

KUTUMIA  MCHICHA  KAMA  TIBA  YA TEZI LA SHINGO Chukua mchicha kiasi kidogo, ponda, fungia shingoni pale penye uvimbe wakati unapolala kwa kitambaa, kwa muda wa siku 5.

Related Posts:

  • FAIDA MBALIMBALI ZA MTI WA MNYONYO Mti  wa  mnyonyo  una  faida  nyingi  sana  kwa  afya  ya  mwanadamu.  Karibu  kila  kitu  kinachopatikana   kwenye  mmea  wa&… Read More
  • FAIDA ZA KUTUMIA MAJANI YA TUNDA LA STAFERI Juisi yake hutibu kansa haraka na kwa ufanisi zaidi Ina nguvu mara 10,000 zaidi ya tiba ya mionzi katika kuziua seli za kansa Hutibu maumivu ya nyuma ya mgongo/low back pain Ni tiba ya asili ya maumivu ya mishipa, yasage… Read More
  • KIBOKO YA KUSAFISHA FIGO: KUNYWA JUISI YA GILIGILANI CLEAN YOUR KIDNEYS Years pass by and our kidneys are filtering the blood by removing salt, poison and any unwanted entering our body. With time, the salt accumulates and this needs to undergo cleaning treatments and how… Read More
  • FAIDA ZA MCHAICHAI KWA AFYA YAKO UJUE MCHAICHAI Ni wengi wanaoutumia na kuufahamu mchaichai kama kiungo cha chakula jikoni na wengine hutumia kama dawa ya mbu. Lakini, je unafahamu kuwa majani haya yana faida kubwa kiafya . Mafuta ya mchachai hutumik… Read More
  • MATUMIZI SABA YA BAKING SODA(MAGADI SODA) USIOYAJUA-magadi soda si chakula tu. Leo asubuhi Dada yangu alinichekesha sana,alifanya siku yangu ianze vizuri pale aliponiletea kibao kichafu cha kukatia nyama alichobeba kutoka nyumbani kwake ili nimsaidie… Read More

0 comments:

Post a Comment