Wednesday 30 April 2014

BAMIA INAWEZA KUTIBU TATIZO LA KISUKARI




Wanasayansi  nchini  Marekani   wamegundua  kuwa  Bamia  ina  virutibisho  vinavyo  weza  kumsaidia mtu  mwenye  tatizo  la  Sukari.
                             JINSI   YA  KUTUMIA  :
Chukua  bamia  zako 2 au 3 kisha  kata  vichwa  vyake  , halafu  ziloweke  bamia    kwenye  kikombe  cha  maji  kwa  usiku  mzima  kisha  zitoe  bamia  halafu  kunywa  maji  yako.
Fanya  hivyo  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja  na  kwa  uwezo  wa  Mungu,  tatizo  la  sukari  litakwisha.
Tiba  hii  imewasaidia  watu wengi  walio  itumia.  Itumie  na  wewe  uone  itakusaidia  kwa  kiwango  gani.
                        MUNGU  akubariki  sana.

0 comments:

Post a Comment