Wednesday, 18 December 2024

MARADHI YA MIGUU KUWAKA MOTO CHANZO CHAKE NA MATIBABU YAKE (NEUROPATHY)

 Nini maana ya miguu kuwaka moto?​Miguu kuwaka moto ni tatizo kubwa sana kwa sasa. Maumivu haya yanaweza kuwa ya mda mfupi au yakakaa mda mrefu bila kuisha. Miguu yako itahisi hali ya kuungua na kufa ganzi. Maumivu huwa makali sana hasa nyakati za usiku.Matibabu ya changamoto ya miguu kuwaka moto...

Thursday, 12 December 2024

FAIDA ZA MMEA WA MSEGESEGE KUMTIBU MTU ALIYEROGWA UCHAWI USIOTIBIKA KIRAHISI

 1. Kama unahitaji kumtibia mtu aliyerogwa uchawiusiotibika kirahisi au amezunguka sana kutafuta matibabu mbalimbali basi utakwenda katika mti huu kwa kufuata adabu za kuchukua mti kitiba kisha utachukua majani yake kisha utakwenda kuyapondaponda majani hayo kisha utachanganya katika...

DAWA YA KUONGEZA NYEGE KWA WANAWAKE

 Iwapo kama unachangamoto ya kutopata hamu ya tendo la ndoa, hali hii husababishwa na matatizo ya homoni imbalance (homoni zinazosisimua kupata hamu ya tendo la ndoa .kama unahitaji kuondokana na changamoto hiyo basi tengeneza dawa ifuatayo;MAHITAJI1. unga wa kungu manga...

JINSI YA KUTUMIA BAMIA KUONGEZA UTE UKENI

 Bamia (okra) inajulikana kwa kiasi kikubwa cha nyuzinyuzi za majimaji, na hivyo inaweza kusaidia kuboresha ute wa uke.Ifuatayo ni namna ya kutumia bamia kuongeza ute ukeni:1. Osha Na Kata Bamia.Anza kwa kununua bamia nzuri na safi. Osha bamia kwa maji baridi na kisha kata sehemu zote zisizohitajika,...

Saturday, 15 April 2023

FAIDA YA KULA MAGANDA YA NDIZI MBIVU KIAFYA.

 Watu Hula Maganda ya Ndizi. Wewe Unazijua Faida Zake?How healthy are bananas? Bananas are rich in Vitamin B6 and a good source of fiber, vitamin c, magnesium and potassium. Bila shaka hujawahi kuona mtu akila maganda ya ndizi kutokana na ukweli kwamba kinacholiwa ni kilicho ndani na...

Saturday, 19 November 2022

DALILI 5 ZINA ASHIRIA WEWE NI MTU MSIKIVU SANA

 Dalili 5 Zina ashiria Wewe ni Mtu Msikivu Sana1. Unakuwa rahisi kuzidiwa.Watangulizi wanashiriki ubora huu nawe. Umati mkubwa wa watu, haswa wachafu, huwa wanakuchosha haraka sana. Ni rahisi kwako kuzidiwa.2. Unafurahia kuwa peke yako.Wakati huo pekee mara nyingi hutumiwa kuchaji wengine, sio...

Wednesday, 22 December 2021

MAZIWA NA UNGA WA KARAFUU NI TIBA YA MARADHI MENGI

 MAZIWA NA UNGA WA KARAFUU NI TIBA YA MARADHI MENGI.Kijiko kidogo cha Unga wa karafuu ya kusaga changanya na glasi moja ya maziwa Kunywa kwa siku 1X3 kabla ya kula kitu tumboni inatibu Maradhi haya hapo chini1- Ugumba.2- Udhaifu wa kijinsia.3- Udhaifu wa moyo, tumbo, ini, wengu na figo.4- Mishipa...