Monday 5 September 2016

FAIDA YA MBOGA YA MCHICHA NI DAWA YA KUTIBU MARADHI MENGI TU UKITUMIA.




MBOGA YA MCHICHA HUTIBU MARADHI YAFUATAYO

Kuumwa mgongo

Kusafisha njia ya mkojo

Kusafisha damu

Unatibu tigo

Unatibu minyoo

Unatibu damu

Baridi yabisi

Tezi la shingo

Homa

Kuongeza damu

Unatibu maumivu

Tonic ya nywele

Unasaidia kupata haja ndogo kwa wingi

MATAYARISHO

Chukua mchicha kilo 1 chemsha maji lita 2 na nusu.
Yakichemka loweka mchicha kwa dakika 15. Tumia kikombe. Ni bora utumie yote kwa siku . Dozi ni siku 5

KUTIBU MGONGO

Chukua mchicha ponda. Chua mara 3 kwa siku. Usiku unapasha moto mchicha kisha unufunga mahali panapouma. Lala nao wakati vuguvugu la joto lake lenye maji ndani (dawa) ikiingia ndani fanyahivyo kwa siku 5, ukibadilisha kila siku (fresh)

TIBA YA TEZI LA SHINGO

Chukua mchicha kiasi kidogo, ponda, fungia shingoni pale penye uvimbe wakati unapolala kwa kitambaa, kwa muda wa siku 5.

0 comments:

Post a Comment