Saturday, 29 November 2014

WATOTO WALIOZALIWA MASIKA HUWAHI KUTAMBAA




Utafiti uliofanyika hivi karibuni nchini Israel unaonyesha kuwa watoto wanaozaliwa majira za masika huwahi kutambaa zaidi ikilinganishwa na wanaozaliwa msimu wa kiangazi.


Kwa mujibu wa ripoti ya utafiti huo, watoto waliozaliwa wakati wa masika huanza kutambaa wakiwa na wiki 30 wakati wanaozaliwa majira ya kiangazi hufikia hatua hiyo baada ya wiki 35.
Ripoti hiyo inaeleza kuwa mara nyingi watoto wanaozaliwa majira ya masika hufikisha wiki 30 wakati wa kiangazi ambacho huambatana na joto hali inayomsababisha mtoto kupenda kucheza chini.

Kulingana na matokeo hayo, jopo la wataalam walioshiriki kwenye utafiti huo limewataka wazazi kuwa makini katika kuangalia mienendo ya watoto wao na wakati mwingine kuwasaida wanapofikia hatua ya kutaka kutambaa.

Related Posts:

  • DALILI ZA TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO IKIWA ni rahisi au vigumu kujigundua kama unauwezo wa kupata ujauzito au la, au kwa mwanaume kama ana uwezo wa kumpa mwanamke mimba au la. Tatizo la kutofanikiwa kupata ujauzito kwa mwanamke  linahusiana moja kwa moj… Read More
  • 4 Proven Herbs for Reducing Cholesterol Naturally The importance of lowering your cholesterol levels As all of us known, heart disease is the NO.1 killer of men and women in the United States, one out of every two men and one out of every three women will get heart dis… Read More
  • KITUNGUU SAUMU KINGA YA SARATANI NA MALARIA Kwa baadhi ya watu kitunguu saumu kina harufu mbaya, wengine huweza kuharisha, kuamsha vidonda vya tumbo au kusababisha harufu mbaya mdomoni.KWA UFUPI Kitunguu saumu ni miongoni mwa viungo muhimu vya chakula hapa nchini… Read More
  • TATIZO LA KUTOPATA UJAUZITO TUNAPOSEMA tatizo la kutopata ujauzito ina maana mume na mke au watu walio katika uhusiano wa kutafuta ujauzito ndani ya mwaka mmoja lakini wameshindwa. Inaweza ikawa zaidi ya mwaka mmoja lakini wastani kiwango cha chin… Read More
  • TATIZO LA MWANAMKE KUKOSA SIKU ZAKE ZA HEDHI Mwanamke au msichana aliyekuwa akipata siku zake kama kawaida hapo awali na baadaye ghafla kakosa siku zake kwa kipindi cha miezi 6 mfululizo, basi huchukuliwa kwamba ana ugonjwa au tatizo linalosabisha kero hiyo nyuma yake… Read More

0 comments:

Post a Comment