Friday 13 June 2014

UMUHIMU WA OMEGA 3 KWA AKINA MAM WAJAWAZITO



Omega 3 humsaidia mtoto kukuza ubongo, kutengeneza retina kwenye mboni ya macho, na kutengeneza nervous system.

Omega 3 humsaidia mama kuzuia preeclampsia na postpartum depression. 

Njia kuu mtoto kupata Omega 3 ni kutokana na vyakula anavyokula mama. Kama mama atashindwa kupata vyakula vya kutosha vyenye Omega 3 basi mtoto atachukua Omega 3 iliyoko mwilini mwa mama ambayo mara nyingi iko kwenye ubongo wa mama. 

Basi iwapo mama hatapata Omega 3 ya kutosha anaongeza risk ya kupata Pospartum depression, mtoto mwenye uzito mdogo, preterm labor(mtoto kuzaliwa kabla ya muda), au csection(kuzaa kwa upasuaji).

Watoto ambao wamepata Omega 3 ya kutosha wameonyesha kuwa na attention spans kubwa na upeo mzuri kuliko watoto wengine. Pia walikuwa mbele zaidi katika ukuaji.

Kwa watoto hupunguza matatizo ya kitabia, na kwa watu wazima hupunguza chance za kupata kansa ya maziwa na prostate.

Hata kama wewe si mjamzito ni vizuri kupata Omega 3 ya kutosha kupitia mlo wa kila siku. 

Wakati wa ujauzito unashauriwa kupata angalau 250mg kila siku na katika trimester ya mwisho( miezi mitatu ya mwisho) kwasababu katika kipindi hiki mtoto hutumia asilimia 70 ya Omega 3 kujenga ubongo wake na nervous system yake.

Vyanzo vya Omega 3 katika Vyakula:

Omega 3 inapatikana katika samaki na mafuta ya samaki hasa hasa samaki wenye mafuta mengi kama vibua(mackerel), herring, salmon, dagaa, tuna.

Lakini ni vizuri pia kujua kwamba samaki wengi siku hizi wamekuwa na sumu ya mercury kwasababu ya machafuko ya kimizingira hivyo unaweza pia ukapata Omega 3 kutoka kwenye mayai, mkate, juice, mboga za majani, canola, sunglower, flaxeed oils na walnuts.

Na kama utapenda kunywa vidonge vya Omega 3 uhakikishe kwamba havijatengenezwa na maini ya samaki kwani hizi zina asilimia kubwa ya retinol Vitamin A, ambayo imegundulika kusababisha madhara kwa watoto. 

Omega 3 iliyotengenezwa kutoka kwa nyama ya samaki na sio maini ni bora zaidi. Kama huna uhakika ni bora kununa vidonge maalum vya Omega 3 vilivyotengenezwa kwa ajili ya wamama wajawazito.

1 comments:

  1. Am so happy to share this testimony with everyone about how i got my herpes cured from Dr. Lawson the godfather of herbal medicine. I had been going from one country to another for medication for 3 years just to be cured from herpes but all seems in vain, i was confused and decided to search through the Internet if i could get any news concerning herpes so i do keep searching until i visited one particular site and i saw the great testimonies from different persons testifying how Dr. Lawson has cure them from herpes and other diseases and i was shock and was thinking if this is real, after a due consideration i decided to contact him with the email address I found in the posted just to give it a trial and when i contacted him he proved to me that his herbal medicine can cure me if only i believe in him, so i requested for his herbal medicine and i got it and i applied it as prescribed and after 2weeks of application i went for a test and to my greatest shock the herpes virus has disappeared and it was just like a dream. Today I am cured from herpes am so happy and thanking God for using Dr. Lawson to cure me. so if you are out there and you are suffering for herpes or any kind of illness kindly contact Dr. Lawson through, he will help you to cure that illness. you can get in touch with him via: his email address. Dr.lawsonherbalhome@gmail.com or call/whatsapp him on this number +2348154635774. Here's also his IG link @dr_lawson9 and also here's his website   https://dr-lawson-herbal-home.jimdosite.com  and here's Facebook link https://m.facebook.com/dr_lawson9-102501711439600/?ref=bookmarks   contact him so that you can be alive testimony same as me,  God bless    

    ReplyDelete