Thursday 19 June 2014

FAIDA ZA KIAFYA ZIPATIKANAZO KWA KULA TUNDA LA NDIZI







Ina vitamini A,B na E pia ina madini ya iron, potassium, calcium, sodium, magnesium, silicon, phosphorous, surphur na chlorine.

Msaada wake mwilini

Hupigana na magonjwa ambayo huja na maji mwilini
Husaidia watu wadhaifu
Husaidia udhaifu wa tumbo au mwili
Inasaidia sana kuponya ugonjwa wa kifua kikuu
Pia huponya magonjwa kama:-
Rheumatism
Arthritis
Gout
Constipation
Diarrhoea
Gallstone
Chest
Kidney
Small intestine
Neva
Kuvimba miguu


Unene unaweza kuondoka kwa kuacha kula kila kitu isipokuwa ndizi

Tumia ndizi 10 hadi 15 mara 3 kutwa,
 baada ya dozi hiyo, rudia kula ndizi 5 hadi 10 mara 3 kutwa,
baada ya dozi hiyo rudia kula ndizi 2 tu kwa kila mlo.
Matokeo yatakuwa wazi baada ya kumaliza dozi hiyo.

Tumia ndizi pia kusafisha damu, wengine damu huchafuka na acid na pia ulaji mbaya. Sasa dawa ya kusaidia ni ndizi. Maji ya mgomba wake hutumiwa kwa kuponyesha hermorrhoids (pile) kwa kupaka, na hata kwa kunywa ikiwa yamechanganywa kwa nephritis.

USHAURI

Ndizi isiliwe na mboga za majani (usababisha kiungulia)
Ndizi isitiwe mafuta mengi
Usile ndizi na pombe (usababisha kiungulia)
Ndizi isitumiwe mara 1 kwa wingi.

2 comments:

  1. Dr kanyas mtaalamu wa tiba asili anazo dawa kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume na kurrfusha uume na kunenepesha uume mtafute kupitia 0764839091

    ReplyDelete
  2. Am so happy to share this testimony with everyone about how i got my herpes cured from Dr. Lawson the godfather of herbal medicine. I had been going from one country to another for medication for 3 years just to be cured from herpes but all seems in vain, i was confused and decided to search through the Internet if i could get any news concerning herpes so i do keep searching until i visited one particular site and i saw the great testimonies from different persons testifying how Dr. Lawson has cure them from herpes and other diseases and i was shock and was thinking if this is real, after a due consideration i decided to contact him with the email address I found in the posted just to give it a trial and when i contacted him he proved to me that his herbal medicine can cure me if only i believe in him, so i requested for his herbal medicine and i got it and i applied it as prescribed and after 2weeks of application i went for a test and to my greatest shock the herpes virus has disappeared and it was just like a dream. Today I am cured from herpes am so happy and thanking God for using Dr. Lawson to cure me. so if you are out there and you are suffering for herpes or any kind of illness kindly contact Dr. Lawson through, he will help you to cure that illness. you can get in touch with him via: his email address. Dr.lawsonherbalhome@gmail.com or call/whatsapp him on this number +2348154635774. Here's also his IG link @dr_lawson9 and also here's his website   https://dr-lawson-herbal-home.jimdosite.com  and here's Facebook link https://m.facebook.com/dr_lawson9-102501711439600/?ref=bookmarks   contact him so that you can be alive testimony same as me,  God bless    

    ReplyDelete