Tuesday, 6 May 2014
JINSI YA KUONDOA MAKOVU YA CHUNUSI
MARA nyingi chunusi zikitumbuliwa mbichi husababisha makovu yanayoleta weusi mbaya kwenye ngozi.
Ukiachana na njia za gharama za kuondoa makovu hayo, kuna njia rahisi za kuondoa tatizo hilo:
1. Paka ‘bleach cream’ kwenye sehemu zenye makovu, cream hii husaidia kuondoa makovu.
2. Tumia ‘scrub’ ambayo huondoa ngozi ya juu (exfoliate) kwa kupaka kwenye sehemu zenye makovu kama usoni na kwingineko ambako ni rahisi kupaka. Unaweza kufanya zoezi hilo angalau mara mbili kwa wiki.
3. Tumia bidhaa ambazo zina ‘hydroxyl acids`, hutibu ngozi yako na itaonekana nyororo. Unaweza kupata hydroxyl acids tofautitofauti za ngozi (skin care products) kama vile cleansers na lotion.
4. Pia unaweza kuyafanyia masaji makovu ya chunusi ili kuvunja mafuta yaliyoganda ambayo huleta chunusi.
5. Fanya ‘diet’, unatakiwa kula vyakula vyenye vitamin na nutrition, vinasaidia kutengeneza ngozi yako kuwa na afya.
Tukutane wiki ijayo kwa mada nyingine!
Related Posts:
SARATANI YA NGOZI AINA YA MELANOMA NI HATARI KIASI GANI? Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambombalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi nasaratani hii ya ngozi. Saratani… Read More
MARADHI YA UGONJWA WA KIMETA ( ANTHRAX) Kimeta ni ugonjwa wa hatari unasababishwa na vimelea vya bacteria. Bacteria hawa hujulikana kama Bacillus anthracis,bacteria ambao wana uwezo wa kufanya mbengu.Mbegu hizi ni seli ambazo huweza kukaa kwa miaka kadh… Read More
UJUE UGONJWA WA TETE KUWANGA (CHICKEN POX) Tete kuwanga ni ugonjwa ambao unaombukiza na kusababishwa na virusi vinavyojulikana kama Varicella zoster virus. Maambukizi ya tete kuwanga huonekana sana kwa watoto wadogo ingawa hata watu wakubwa pia hupa… Read More
UGONJWA WA NGOZI TUTUKO ZOSTA HERPES ZOSTER Tutuko zosta "Zoster" inaelekezwa hapa. Kwa the ancient Greek article of dress, tazama Zoster (costume). "Shingles" inaelekezwa hapa. Kwa matumizi mengine, tazama Shingle (disambiguation). Herpes zost… Read More
HIVI NDIVYO FANGASI WANAVYOSHAMBULIA SEHEMU ZA SIRI!! LEO tuangalie fangasi wanaoshambulia sehemu za siri, yaani Tinea cruris. Aina hii ya fangasi ndiyo inayofahamika na Watanzania wengi zaidi ya aina nyinginezo na waathirika huwashwa sana sehemu za siri. Dalili zake… Read More
0 comments:
Post a Comment