Mawasiliano

Kwa Mawasiliano;
Herbalist Dr. MziziMkavu
Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
Simu (Whatsapp)  +90-501-346-0377 

66 comments:

  1. Assalam o alykum sheikh, je mnapatikana wapi. ........

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa mawasiliano;
      Saad Ibrahim
      Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp)#: +90 534 450 8169

      Delete
    2. Mkuu kwa sasa unapatikana kwa namba gan whatsapp

      Delete
    3. Ndugu Maestro unaweza kunipata mimi kwa hizi njia mbili hapa chini Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp)#: +90 534 450 8169

      Delete
  2. Asante sana na wewe ndugu Daudi Kipaa ubarikiwe God Bless you amin.

    ReplyDelete
  3. Nimeipenda hii. Niko na tatzo hilo,nipe cellphone yako

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndugu Alphaxard Semen Raymond Nambaya Simu yangu ya mkono hii hapa +90 534 450 8169 Unaweza pia kuni Add kwenye Whats App yako hiyo hiyo namba yangu tukawa tunazungumza moja kw amoja.

      Delete
  4. Replies
    1. Ndio mimi Tabibu wa Tiba Mbadala unasemaje ndugu.Dennis Mushi?

      Delete


  5. Mzizimkavu mwenyezi Mungu ukuzindishie neema na maarifa zaidi kwa huduma yako unayotoa JF.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asante sana atuzidishie kwa sote Mwenyeezi mungu ndugu Daud Kipara.

      Delete
  6. Namimi Nina shida tabibu naomba msaada

    ReplyDelete
  7. Naomba unijibu kwa pm kule jf ndo itakuwa rahisi kukuelewa!

    ReplyDelete
  8. Salaam.
    Ndugu, nnasumbuliwa Na nyayo kuwaka moto, nilipaka kitunguu swaumu, maumivu yakakusanyika katikati, naomba ushauri zaidi wa jambo hili.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndugu Benjamin Mangula kama unaweza tupate Ku Chat kwenye What's App niadd kwa hiyo namba yangu +905344508169 au nitumie Email baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com nitaweza kukujibu vizuri.

      Delete
    2. Asalaam aleykum sheikh.Nimesoma kuhusu uchawi wa GHASKHINI nimevutiwa na uliyo yaandika na pia tatizo la miguu kuwaka moto pia,yote hayo nalinganisha na mambo yaliyo/yanayo nipata... naomba tuwasiliane kwa e-mail yangu:
      allyomary573@gmail.com
      ahsante

      Delete
  9. Ninasumbuliwa na FIZI kutoa damu hazina maumivu wala meno hayaumi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndugu Mcherewanini una matatizo ya ukosefu wa Vitamin c mwilinimwako kanunuwe Vidonge vya kuongeza vitamin c mwilini na upendelee kula machungwa kwa wingi tatizo lako litaisha

      Delete
  10. Naomba namba zako nikutafute @mzizi mkavu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa mawasiliano;
      Maalim Saad
      Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp) Viber +90 534 450 8169

      Delete
  11. Unaweza toa huduma mpaka Mikoani? Kama Arusha.. @mzizi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndugu Peter Mbwambo ninatoa huduma kila sehemu nchini Tanzania unaweza kunitafuta Kwa mawasiliano;
      Maalim Saad
      Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp) Viber +90 534 450 8169

      Delete
    2. Naomba msahada wako mzizi kavu nashida ila sielewi

      Delete
  12. Msaada nasumbuliwa bawasir leo ni siku ya nne naweza pata tiba kwako na nibei gani

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwa mawasiliano;
      Maalim Saad
      Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp) Viber +90 534 450 8169

      Delete
  13. Naomba unisaidie mm sijapat brid huu unaingia mwez wa pil then natokwa na huo uchafu hil ni mweup masaa mengin ni wanjano na tu






    mbo linaum san kotekote naomb msaad wako

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tafuna ufuta kiasi cha kijiko kimoja kila siku mara tatu. Fanya hivyo hadi upate hedhi. Ni bora zaidi kula ufuta kabla ya zile siku ambazo hedhi hutoka na uendelee wakati inapotoka hedhi. Dawa hii ni hatari kwa mwanamke mja mzito, hivyo atahadhari nayo,na tangu hapoyeye haimuhusu.

      Delete
  14. Naomba unisaidie mm sijapat brid huu unaingia mwez wa pil then natokwa na huo uchafu hil ni mweup masaa mengin ni wanjano na tu






    mbo linaum san kotekote naomb msaad wako

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tafuta msonobari,uwatu na Ubani mweuepe twanga hizo dawa kisha uchemshe nusu unywe na nusu uweke pamba kisha uweke sehemu yako ya siri,yatatoka maji mnengi usiogope hiyo nimwanzo wa kutumia dawa. tumia hiyo dawa kwa muda wa siku 7 kutwa mara 3 asubuhi mcha an usiku. Wakati unapochemshahiyo dawa tia majiglasi 3 ichemke kwa muda wa dakika 10 kisha ndio utumie hiyo dawa kwa siku 1 utakuw auanongeza maji. Nakesho yake fanay kama ulivyo jana yake Dawa kanunuwe kwenye maduka ya dawaza kisuna uliza utapata.

      Delete
  15. Kwel hili tatizo ni kubwa sana kwa kizazi hiki

    ReplyDelete
  16. Nina upara jamani niana miaka ishirini nakwetu wote awana bipara ninini

    ReplyDelete
    Replies
    1. Tuwasiliane ndugu Jackson Kimboti Kwa mawasiliano;
      Maalim Saad
      Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp) Viber +90 534 450 8169

      Delete
  17. Phone pls, Namba yangu ni 0712898080,, Nnashida naomba msaada

    ReplyDelete
    Replies
    1. Haya mimi nina ku add kwenye What's App ili tupate ku chat unasemaje?

      Delete
  18. Mzizi mkavu nimekupm nimekuwhatsapp pia nna UTI imetibiwa sasa ni Mara ya tatu inansumbua inarudi nikimaliza dozi napumzika inarudi

    ReplyDelete
  19. Mzizi mkavu nimekupm nimekuwhatsapp pia nna UTI imetibiwa sasa ni Mara ya tatu inansumbua inarudi nikimaliza dozi napumzika inarudi

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hakuna wasiwasi tutazungumza kule What's App

      Delete
  20. mkuu habari yako aisee naomba ushauri wako na matibabu pia nasumbuliwa na fungus sehemu za siri kwa muda mrefu kila dawa ninayopatiwa hosptal inagonga mwamba nisaidie ndugu nahisi changanikiwa

    ReplyDelete
  21. Mzizimkavu nafuatilia sana mada zako na zinanisaidia sana,tuna group letu la whatsap ambalo limetokana na wana jf,naomba tukuadd kule ili uwe unatusaidia baadhi ya maswali,
    Email yangu dannybanata@gmail.com.

    ReplyDelete
  22. Mzizimkavu nafuatilia sana mada zako na zinanisaidia sana,tuna group letu la whatsap ambalo limetokana na wana jf,naomba tukuadd kule ili uwe unatusaidia baadhi ya maswali,
    Email yangu dannybanata@gmail.com.

    ReplyDelete
  23. Mzizimkavu Mungu akubariki sana kwa huduma unayotupa

    ReplyDelete
  24. Habari yako Dr. mimi ninaswali nimeanza kutumia hiyo tiba ya habbatsouda ila natumia na asali na leo ni siku ya 7 kama siko sei ila nimeanza kutapika vitu vichungu kila ninapo itumia je unaweza nishauri hapo?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Umetumia hiyo Habbat Soda na Asali kwa ajili ya kujitibia maradhi gani Bibie Martha Geofrey?

      Delete
  25. Mti mkavu habar yako naomba unisaid ie dawa ya kutia fibroid Bila ya operetion

    ReplyDelete
    Replies
    1. Bi Fatima Ukitaka dawa ya kukutibu Maradhimyako ya Fibroid pasipo na kufanya Oparesheni dawa ninayo unawezakuwasiliana an mimi kwa njia mbili hizi hapa Barua pepe: fewgoodman@hotmail.com
      Simu (Whatsapp)#: +90 534 450 8169

      Delete
  26. Mti mkavu shkamoo naomba kujua jinsi ya kutibu jipu kiasili

    ReplyDelete
  27. Mti mkavu shkamoo naomba kujua jinsi ya kutibu jipu kiasili

    ReplyDelete
  28. mti mkavu vipi sis tusiotumia email wala whatsap unatusaidiaje?

    ReplyDelete
  29. mti mkavu vipi sis tusiotumia email wala whatsap unatusaidiaje?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au bonyeza hapa.https://www.facebook.com/mzizi.mkavu

      Delete
  30. Habar kaka.Naomba unpe ufafanuzi kuhus tiba ya kisukar..niliona page ako moja kuhsu Habat soda na shubr n.k.je nawrza fuata malekzo yale kwamgonjwa sukar ya kpanda.asnnt.

    ReplyDelete
  31. Habari yako Dr..
    Nasumbuliwa na vipele kisogoni,nini tiba yake?

    ReplyDelete
  32. Mimi ninasumbuliwa sana na Tatizo la kuishiwa nguvu za kiume, goli 1 linafungwa dakika ya kwanza,dudu halisimami tena

    ReplyDelete
  33. Habari MKUU..!? Nasumbuliwa na Mngurumo sikioni naomba msaada wako

    ReplyDelete