Saturday 15 April 2023

FAIDA YA KULA MAGANDA YA NDIZI MBIVU KIAFYA.

 




Watu Hula Maganda ya Ndizi. 

Wewe Unazijua Faida Zake?

How healthy are bananas? Bananas are rich in Vitamin B6 and a good source of fiber, vitamin c, magnesium and potassium. 

Bila shaka hujawahi kuona mtu akila maganda ya ndizi kutokana na ukweli kwamba kinacholiwa ni kilicho ndani na kutupa ganda. 

Hata hivyo katika nchi za Asia, kama vile India, watu wamekuwa wakila ndizi na maganda yake kwa miaka mingi sasa.

Tofauti na ndizi yenyewe, ganda lake huwa gumu kidogo na lina uchungu ambao si rahisi mtu kupenda kula na ndiyo sababu watu wengi hawawezi kula maganda ya ndizi. 

Lakini pamoja na uchungu wake, kuna virutubisho muhimu sana ndani yake ambavyo tutakupa siri na sababu kwa nini uwe unakula na maganda ya ndizi pia.

Utafiti uliofanyika umebaini kuwa, Maganda ya ndizi mbivu yana kiwango kingi zaidi cha Vitamin B6 na B12 pamoja na madini ya Manganizi (Magnesium) na Potasia (Potassium) kuliko ndizi yenyewe. 

Hivyo unapokula ndizi na kutupa maganda yake unakuwa umetupa virutubisho vingi zaidi kuliko ulivyokula.

Aidha, utafiti unaonesha ndizi ina asilimia 8 ya kiwango cha madini ya Manganizi kinachohitajika kila siku na mwili, madini haya ni muhimu kwa kurekebisha kiwango cha sukari mwilini na shinikizo la damu.

Kiwango cha madini ya potasia kilichomo kwenye ndizi ni asilimia 12 ya mahitaji ya kila siku ya mwili ambayo ni muhimu katika ukuaji wa seli za mwili.

Asilimia 17 ya mahitaji ya mwili ya kila siku kwa upande wa kamba lishe (fiber) utaipata kwa kula ndizi. 

Kirutubisho hiki ni muhimu katika usagaji wa chakula na kupunguza hatari ya mtu kupatwa na kisukari.

Kwa upande wa vitamin B6 na B12, ndizi inatoa kiasi cha asilimia 20 ya mahitaji ya kila siku ya mwili wa binadamu.

 Vitamini hizi ni muhimu katika zoezi la kugeuza chakula tunachokula kuwa nishati inayohitajika mwilini.

Ili kupata faida za kutosha za ndizi mbivu, inashauriwa kula ndizi iliyoiva kama tulivyoona wiki iliyopita na pia ule na maganda yake ambayo huwa laini kutafuna na matamu kadri ndizi inavyoiva zaidi. 

Kama hutaweza kula ganda zima, basi angalau hakikisha unalamba nyama na nyuzi nyuzi zote zinazobaki kwenye ganda baada ya kumenya, kwani hivyo ni virutubisho muhimu sana katika mwili wako

Saturday 19 November 2022

DALILI 5 ZINA ASHIRIA WEWE NI MTU MSIKIVU SANA

 



Dalili 5 Zina ashiria Wewe ni Mtu Msikivu Sana


1. Unakuwa rahisi kuzidiwa.

Watangulizi wanashiriki ubora huu nawe. Umati mkubwa wa watu, haswa wachafu, huwa wanakuchosha haraka sana. Ni rahisi kwako kuzidiwa.


2. Unafurahia kuwa peke yako.

Wakati huo pekee mara nyingi hutumiwa kuchaji wengine, sio tu kuwaepuka watu. Kwa sababu wewe ni HSP haimaanishi kuwa hupendi kuwa karibu na watu. Ni muhimu kutambua wakati unahitaji muda peke yako na kujifurahisha mwenyewe.


3. Watu wanafikiri wewe ni dhaifu.

Tunaishi katika utamaduni wa macho, haijalishi mtu yeyote anajaribu kukuambia nini. Ni ngumu kuelezea upande wako nyeti, haswa ikiwa wewe ni mwanaume. Sensitivity, kama matokeo, inaonyesha nguvu, sio udhaifu. Unapaswa kuwa jasiri kusimama na kujieleza hivyo. Sio udhaifu.


4. Wewe ni bodi ya sauti ya kila mtu.

Kila mtu anaonekana kuja kwako na matatizo yake kwa sababu wewe ni msikilizaji wa ajabu. Hii inachukua ushuru kwa mtu yeyote, haswa HSP. Kumbuka kuchukua muda wa kuchaji tena na, mbaya zaidi inakuja kuwa mbaya zaidi, sema hapana wakati mwingine!


5. Jeuri inakukera.

Huwezi kuvumilia, iwe ni katika maisha halisi au katika aina fulani ya vyombo vya habari, kama vile filamu au michezo ya video. Kuona vurugu kunakusumbua kwa msingi wako ikiwa wewe ni HSP. Ambayo ina maana unapoizingatia. Sisi si wajeuri kwa asili. Watu wanarudi kutoka vitani na PTSD kwa sababu sio kawaida kuishi kwa njia hiyo.

Wednesday 22 December 2021

MAZIWA NA UNGA WA KARAFUU NI TIBA YA MARADHI MENGI

 

MAZIWA NA UNGA WA KARAFUU NI TIBA YA MARADHI MENGI.
Kijiko kidogo cha Unga wa karafuu ya kusaga changanya na glasi moja ya maziwa Kunywa kwa siku 1X3 kabla ya kula kitu tumboni inatibu Maradhi haya hapo chini👇
1- Ugumba.
2- Udhaifu wa kijinsia.
3- Udhaifu wa moyo, tumbo, ini, wengu na figo.
4- Mishipa ya moyo na viungo.
5- Maumivu ya viungo.
6- Pumu, kohozi, kikohozi na pua iliyojaa.
7- Kwikwi
8- Usagaji chakula duni tumboni
9- Matatizo ya Kumbukumbu mbaya na kutokuelewana.
10- Gesi kwenye tumbo na utumbo.
11- Udhaifu wa misuli ya kibofu, kukojoa bila hiari na kushindwa kujizuia mkojo.
12- Udhaifu na maumivu ya fizi na meno.
13- Udhaifu wa jumla na uchovu.
14- Hedhi mara mbili kwa mwezi
15- Udhaifu wa kuona na macho.
16- Chunusi, magonjwa ya ngozi na kuumwa na wadudu.
17 - Inadhibiti sukari ya damu na kudumisha viwango vyake.
18- Baridi na Maradhi ya kifua..
19- Maumivu ya koo na Mafindofindo.
20 - husaidia kuzuia saratani.
21 - Wasiwasi, unyogovu na hali ya kisaikolojia.
22- Bawasiri na uvimbe kwenye Tundu ya Haja kubwa.
23 - vidonda vya tumbo na maambukizi.
24- Upungufu wa Kinga mwilini na kinga kwa ujumla

Tuesday 4 May 2021

MIMEA YA KUSAFISHA TUMBO ILI LIWE SAFI. LAXATIVES HERBS


Laxatives: Medicines producing gentle action of the bowels. Laxatives are used for non-persistent constipation. Sometimes it is given with a carminative to prevent griping.


Herbs for laxatives

Pansy Herb
Cascara Bark
Turtle Bloom Leaves
Balmony Leaves
California Barberry Root
Culvers Root
Dandelion Root
Rhubarb Root
Oregon Grape Root
Virginia Poke Root
Cape Aloe
Sacred Bark
Wahoo Bark
Alder Bark (Europ. Black)
Indian Senna Fruit
Senna Leaves
Blackthorn Flowers
Mandrake Root
May Apple Root
Buckthorn Bark
Mountain Grape
Senna Pods
Hart’s Tongue
Fringe Tree
Wormwood 

References

https://italisvital.info/laxatives-herbs/



 

Tuesday 20 October 2020

MARADHI YA KICHWA HEADACHES


 



Kuumwa na kichwa kumegawanyika sehemu kuu nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yame-advance. Kama vile concussion of brain,meningitis,encephaliti, na stroke. Kuumwa na kichwa pia inawezatokana na matatizo ya taya, meno au hata kula vitu vya baridi zaidi. Vyakula vyenye nitrite au monosodium glutamate.

Sehemu ambazo huuma ni kama ifuatavyo:

- Mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa.
- Baadhi ya neva za fahamu zilizoko usoni

Misuli ya kichwani
Mishipa inayopatikana kwenye fuvu la kichwana chini ya ubongo kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo kwa zenyewe haziumi kwani hazina mifumo ya fahamu ambayo inahisia.
Mambo haya 12 nayo yanahusika sana.

1: Nervous tension headaches;
Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo,kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia vitamin b2 na c , ounguza au acha matumizi ya sukari,kahawa,chakula chenye kukusababishia mzio,misongo ya mawazo na ufanye mazoezi yakutosha.

2: Cluster headaches;
Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na makamasi kwa mbali. Kitu cha kwanza ni kutumia chakula chenye protein ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio kwako.

3: Hangover headaches;
Hii ni hali ya kichwa kuuma kwa sababu ya matumizi makubwa ya vinywaji vikali haswa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kichogoni au shingoni,kunywa maji mengi na juice ya matunda freshi na uache pombe.

4: Exertion headaches;
Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na haswa kwenye ngono. Weka barafu linalouma, kula mlo kamili na usifanye mazoezi.

5: Caffein headaches;
Hali hii hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa kuondoa maumivu na upunguze matumizi kidogokodogo mpaka utakapo acha kabisa.

6: Sinus headaches;
Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vitamini C kwa wingi na umuone mtaalamu wa afya maana saa zingine hii utkana na maambukizi.

7: Bilious headaches;
Kichwa na macho huuma haswa kipanda uso na husababishwa na kula sana, kula vibaya, kutofanya mazoezi na kukosa choo. Fanya mazoezi na kunywa maji yakutosha na kasha fanya enema.

8: Hunger headaches;
Maumivu ya kichwa ambaya husababishwa na kutokula kwa muda. Kula chochote ilimradi kiwe ni protein au carbohydrates .

9: Eyes ram headaches
Haya ni maumivu yanayotokea kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo saa zingine inaweza kuwa sababu. lakini chanzo chake haswa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha na kama ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuana mtaalamu aangalie kama lensi zimepotea nuru au la.

10: Menstrual headaches;
Hali hii hutokea kwa kina mama kipindi cha yai kupevuka. Hutokana na mabadiliko ya hormone, muone mtaalamu wa afya.

11: Arthritis headaches;
Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na saa zingine mpaka mgongoni ambayo husababisha maumivu haswa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo.

12: Hypertension headaches;
Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu na halii itaisha bila shaka.

Kabla ya kukupa dawa na ushauri wangu nina maswali nikuulize unijibu.

Je unapata Usingizi wa kutosha? Unalala usiku masaa mangapi? Je, unakunywa maji ya kutosha? Una miaka mingapi? Unapata haja kubwa ya kutosha? Nenda pia kapime macho yako na ukapime tena kwenye mishipa yako ya fahamu huenda una matatizo. Na kitu kingine unakuwa upo juani uwe unavaa kichwani kofia.

DALILI ZA KIPANDA USO
Kipanda uso (Migraine) ni ugonjwa au maumivu makali ya kichwa anayokuwa nayo mtu baada ya mshipa wa damu (Enlargement of Artery ) kutanuka katika kichwa chake.

Baada ya kutanuka kwa mishipa hii ya damu, pia kuna kemikali ndani ya mwili zinazozalishwa na kuizunguka mishipa hii na kupelekea mtu apate maumivu makali ya kichwa na kutanuka zaidi kwa mishipa.

Maumivu makali ya kichwa hupelekea mfumo wa utendaji kazi wa mwili pia ubadilike, mtu atapatwa na kichefuchefu, kutapika, kuharisha, katika utumbo chakula hakitanyonywa vizuri kiingie mwilini, mtu atashindwa kuona vizuri maeneo yenye mwanga na kutopenda kukaa mazingira yenye sauti au kelele.

Vipo vitu mbalimbali vinavyoweza kuchangia mtu apate tatizo la kipanda uso, vitu hivi haimaanishi kuwa ni lazima kusababishe upate na hata kama haupo katika mazingira ya vitu hivi haimaanishi kuwa huwezi kupata tatizo la kipanda uso, miongoni mwa vitu hivyo ni kama vile: sauti kali au kelele, harufu kali, aleji, mwanga mkali, kuvuta sigara, matatizo ya kukosa usingizi, kukaa bila kula kwa muda mrefu, pombe, kubadilika badilika kwa siku za mwanamke (menstrual cycle fluctuations).

Inawezekana ukawa na tatizo hili la kipanda uso, miongoni mwa vitu vinavyowasaidia watu wenye kipanda uso ni kutumia dawa mbalimbali ukijumuisha dawa za maumivu zenye mchanganyiko na caffeine, pia utumiaji wa chai au kahawa umesaidia baadhi ya watu kuwapa nafuu ya maumivu makali ya kichwa.

Tunaweza kupunguza hatari (risk) ya kupata kipanda uso kwa kubadilisha staili ya maisha yetu ya kila siku, kuepuka vitu vyenye harufu kali, kuepuka utumiaji wa tumbaku (sigara), kupata muda wa kutosha kuupumzisha mwili (kulala), kufanya mazoezi, kutokaa bila kula kwa muda mrefu, kunywa maji ya kutosha.Je, unalo tatizo la kipanda uso (Migraine), dalili zako ni zipi na ni vitu gani ukitumia unapata nafuu?

Monday 28 September 2020

PUMU YA NGOZI(ECZEMA) KWA WATOTO UKAVU WA NGOZI,KUWASHWA NGOZI







Eczema (atopic dermatitis) ni ugonjwa wa ngozi ,unaofanya ngozi kuwasha sana kuwa kavu na kupata vijipele vidogo vidogo vyenye rangi nyekundu,huu ugonjwa ushambulia watoto na wakubwa sehemu za viungo vya mwili (joints) mkononi

Shingoni na miguuni na inaweza tokezea sehemu ya usoni ,juu ya jicho ,makwapani,mgongoni ,tumboni ,mbele ya kichwa (forehead),mapajani,mdomoni na mashavuni. Watoto walio chini ya miaka 5 huwa adhiri kwa asilimia 15% unaweza chukua mda kupona kulingana na ngozi na kiasi cha mtoto alivyoadhirika.

Chanzo cha ugonjwa wa eczema

Eczema inasababishwa na mwili kushindwa kutengeneza au kuzalisha ceramider ,ceramider ni fatty cell inayotumika kwenye uzalishwaji wa ngozi,ceramider inaposhindwa kuzalishwa ngozi ya mtoto inapoteza kiwango cha maji na kuifanya kuwa kavu na ndipo inapo msababishia kuanza kujikuna ,ngozi kuwa kavu na kubadilika rangi kuwa nyekundu.

Eczema ni ugonjwa wa kuridhi -toka kwa mama / baba aliekuwa na ugonjwa ni rahisi mtoto akaridhi.

Mzingo(Allergy au asthma)na pumu huleta eczema

Mtoto anaweza pata allergy ya vyakula tofauti kama maziwa,mayai,ngano,soya samaki,nyaman.k na baadae kumpelekea kupata eczema.

Nini kinachochea kutokupona eczema haraka kwa mtoto

Mtoto mwenye tatizo la eczema anatakiwa aepushwe

Ngozi kuwa kavu (dry skin)-epuka ngozi ya mtoto kuwa kavu itasababisha kuwa na low humidity na kujikuna sana .

Joto kali-joto linapokuwa kali inamsababisha mtoto kujikuna zaidi ,usimveshe mtoto nguo nyingi kipindi cha joto itamfanya ajikune sana .

Food allergy-kuna baadhi ya vyakula vyenye kuleta allergy inatakiwa asipewe kama maziwa,mtindi,mayai,cheese ,nuts(karanga,korosho nk)mikate,pweza,kamba

Acid fruits-matunda ya acid asitumie ndimu ,machungwa,nyanya,strawbell

Acha kutumia vitu vya harufu kali kama sabuni ,perfumes ,majani,na mafuta kwenye mwili wake na nguo zake

Kuogeshwa kwa mda mrefu-epuka kumwogesha kwa mda mrefu au kukaa ndani ya maji isizidi dakika 10 maji yana sababisha ngozi kuwa kavu zaidi,atumie maji vugu vugu wakati wa kumwogesha tumia sabuni ya (sensitive skin) isiyo na harufu na usitumie shampoo

Nguo za kumbana-usimveshe nguo za kumbana au zenye material ya synthetic fabric, wool, ,mveshe nguo za kupwaya ziwe material ya cotton inamfanya ajisikie vizuri bila miwasho.

Nguo mpya-nguo mpya inamfanya ajikune zaidi ,kabla ujamvesha fua kwanza.

Sabuni ya kufulia nguo -nayo inaweza msabishia kuwashwa zaidi ,fatilia kila ufuapo kama ukimvesha izo nguo na kuwashwa sana ujue iyo sabuni haimfai

Kucha kuwa ndefu-zitamkwarua na kujikuna sana kuharibu ngozi zaidi ,hakikisha kucha zake ni fupi kila mara.

Kutompa daily products zozote zitokanaza na ng’ombe au kuku (maziwa,mtindi,mayai,cheesen.k)

Vizuri umpeleke hospital Kupima allergy ili ujue , kama anayo ni rahisi kumwachisha kumpa vyakula vinavyompa allergy mapema kabla hajawa eczema.

Tiba

Eczema kutibika kwa haraka ni ngumu ,kuna dawa za kupaka na ikapunguza muwasho, fatilia masharti hayo nilioandika hapo juu na kula matunda na mboga mboga kwa wingi

Yanayoweza tibu au punguza eczema kwa kiasi kama parachichi ,ndizi mbivu, papai,apple,juice ya carrots ,tango,aloe vera,spinanch ,viazi vitamu,viazi ulaya,smoothie ya tango,parsley.Broccoli na tangawizi unaweza saga pamoja na kumpa mtoto ila kwa wale walio juu ya miezi 6 na kuendelea.

Samaki wa maji baridi kama salmon wanafaa zaidi wana omega 3 ya kutosha.Mwepushe mtoto kula fast food zinachochea ugonjwa kuongezeka

Tiba ya kutibu haya Maradhi ipo kwamtu mwenye kutaka unaweza kunitafuta kwa wakati wako.

Ukiwa na Shida yoyote ile

Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukinihitaji matibabu yangu

Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172


 

Tuesday 28 July 2020

FAIDA ZA KUPAKA MAFUTA NYAYONI WAKATI WA KULALA USIKU



KUPAKA MAFUTA NYAYONI

1. Mwanamke mmoja anasema babu yake aliishi miaka 87 bila ya kuumwa na mgongo, viungo, kichwa, meno wala mwili baada ya kufunzwa siri na mzee mmoja wa Kolkata alipokuwa anafanya kazi ya kuweka mawe juu ya reli akamuambia apake mafuta nyayoni kabla kulala.

2. Mwanafunzi mmoja anasema mama yake alikuwa anahakikisha kila siku lazima apake mafuta nyayoni kabla kulala. Na yeye alipodhoofika macho mama yake alimuanzilisha dawa hii na macho yako yakapona.

3. Mfanyabiashara mmoja anaeleza kuwa alipoenda safari mji wa Chitral kwa likizo alishindwa kupata usingizi na akatoka nje kutembea. Askari wa hotel ile akamuuliza shida ni nini, akamuambia hapati usingizi. Yule askari akamuuliza kama anayo mafuta, akasema hana. Askari akamletea mafuta kwenye kichupa akamuambia kusugua nyayoni dakika chache. Baada ya muda mfupi alikuwa anakoroma usingizini.

4. Mimi pia nimeanza kusugua mafuta nyayoni mwangu usiku kabla kulala, sasa nalala vizuri na sina machofu.

5. Nilikuwa na maumivu ya tumbo. Baada ya kusugua mafuta nyayoni siku mbili tu nikapona maumivu.

6. Hii dawa ni kama uchawi. Nilisugua mafuta kwa nyayo yangu kabla kulala usiku na nilipata usingizi mtamu sana.

7. Mimi natumia hii dawa kwa miaka 15 sasa na inanipa usingizi muruwa sana. Nawasugulia wanangu pia nyayoni na wamekuwa na afya njema.

8. Miguu yangu ilikuwa inaniuma sana, nilianza kusugua nyayo yangu kwa mafuta kwa dakika mbili kila usiku kabla ya kulala. Maumivu yangu imepotea yote.

9. Miguu yangu ilikuwa imevimba na nilikuwa nachoka haraka kila napotembea. Nilipoanza kusugua nyayo zangu kwa mafuta, zimerudi kawaida baada ya siku 2 na machofu pia imepotea.

10. Nilianza kusugua mafuta kwenye nyayo yangu kwa dakika mbili kila usiku kabla kulala na nimeanza kupata usingizi mtamu sana.

11. Hii dawa ni ya ajabu sana. Ni bora kuliko vidonge vya usingizi. Sasa nasugua mafuta kwenye nyayo kila usiku kwa ajili ya kupata usingizi murwa.

12. Babu yangu alikuwa anawashwa nyayo na maumivu ya kichwa. Alianza kusugua mafuta ya boga nyayoni na mwasho pamoja na maumivu ya kichwa ilipotea.

13. Nilikuwa na ugonjwa wa thyroid na ilikuwa inasababisha maumivu makali miguuni. Niliambiwa nianze kusugua mafuta kwanyayo kabla kulala. Sijaacha hata siku moja. Sasa sina maumivu.

14. Miguu yangu ilifanya mapele. Nilipoanza kusugua mafuta kwenye nyayo kabla kulala nilikuta tofauti kubwa baada ya siku nne tu.

15. Nilikuwa nina bawasili miaka 13 iliyopia. Sahib wangu mmoja alinipeleka kwa mhenga mmoja mwenye umri wa miaka 90. Alinishauri nianze kusugua mafuta kwa vidole vya mikono, kwenye kucha na pia matone machache kwenye kitovu. Nilianza kutekeleza ushauri wake hakimu na nilipata unafuu mara mmoja mpaka kwenye tatizo la kupata choo. Machofu ya mwili yalipotea na pia kukoroma usingizini, nilijsiikia huru.

16. Dawa ya kusugua mafuta kwenye nyayo ni dawa mujarrab.

17. Kusugua mafuta kwenye nyayo yangu ilinisababishia kupata usingizi haraka.

18. Nilikuwa naumwa na miguu na magoti lakini tangu nimeanza kusugua mafuta kwenye nyayo kila usiku nimepata nafuu na Napata usingizi mtamu.

19. Tangu nimeanza kusugua mafuta kwenye nyayo yangu kila usiku kabla kulala nimepata nafuu kwenye maumivu ya mgongo na Napata usingizi murwa sana.

Siri yenyewe ya kutoka India ni sahali, nyepesi na fupi sana kwa kila mtu popote alipo: Sugua mafuta ya aina yoyote – ikiwa ni ya zaituni au yay a haradali – kwenye nyayo yako kwa muda wa dakika tatu na ukiweza kwenye guu zima kwa muda wa dakika tatu zingine kila guu. Usisahau wala usidharau hata siku moja kusugua mafuta kwenye nyayo na uwasugulie watoto pia hivyo hivyo. Ifanye kuwa desturi kwenye maisha yako kisha usubiri kuona matokeo ya qudra. Kama unavyochana nywele yako kila siku basi uwe unasugua mafuta kwa nyayo kila siku.

Kwa mujibu wa tiba ya asili ya kichina, nyayo za binadamu zina nukta zaidi ya mia zenye kutibu viungo mbalimbali vya mwili zinaposuguliwa. Tumia Mafuta ya Zaituni au Mafuta ya Nazi kujipaka Unyayoni.